Ni maeneo gani kaka tusaidie kurelay info....??
Ni Dar hizo namba zenyewe zinajulikana maeneo yake. Ninatamani nipande nguzo na spana zangu hapaSijajua upo mkoa gani me nipo mbeya niliwafat ofcn kwao
Kk kwa ufupi wanazingua hawa jamaaa kam unahasir unawez watukanNi Dar hizo namba zenyewe zinajulikana maeneo yake. Ninatamani nipande nguzo na spana zangu hapa
Sielewi hata nifanye nini. Tutaweka fundi wetu japo nasikia wanapiga fainiMe siku ya tatu niliwambia moto unawak kweny nguzo hawakuja wakaja kesho yake na mikwara hatari
Ndy bongoland mkuuSielewi hata nifanye nini. Tutaweka fundi wetu japo nasikia wanapiga faini
KweliNdy bongoland mkuu
Looh hao,Mm nililala Giza siku tano kisa Umeme unetrip kwenye mita tu.kunipa tu namba za kufungulia issue..mpk nilienda kulianzisha ofcn kwao ndo wakanipa ..wapuuzi KBS haoWakuu nimeshindwa, imebidi nililete huku.
Hawa watu wa TANESCO huhitaji nini hasa ili watoe msaada? Je wanahitaji RUSHWA??
Ni siku ya nne sasa tangu short ya umeme itokee kwenye nguzo na kuunguza kaTV kangu.
Usiku ule tuliwapigia simu na wakaahidi kufika usiku ule. Hatukulala mpaka tulipowapigia tena ilipofika saa nane usiku wakasema hawaji tena ila watakuja asubuhi.
Asubuhi tukawapigia mdada huyu anayehudumu namba 0716768584 akaendelea kutupa matumaini kuwa watakuja mda wowote.
Huwezi kuamini ahadi ni zile zile wanazotupa kila tukipiga simu.
Tupo gizani siku ya nne sasa. Tumekosa msaada. Sina pa kuripoti tena tatizo hili na namba zao za huduma (Emergency) tulizowapigia ikashindikana mpaka sasa ni hizi:
0716768584
0692768587
0655840094
Naombeni msaada wanajamvi, nifanyeje ili hawa watu waje kutengeneza umeme? Tupo giza, usalama hakuna na mambo mengi yamekwama.
Na je wewe ulishawahi kupata usumbufu wa namna hii?
Pole mkuu. Hizi huduma nyinge unaweza ukaona bora wangepewa wawekezajiLooh hao,Mm nililala Giza siku tano kisa Umeme unetrip kwenye mita tu.kunipa tu namba za kufungulia issue..mpk nilienda kulianzisha ofcn kwao ndo wakanipa ..wapuuzi KBS hao
Jamani We unaongea nini, huku mgao wa Kmya kimya upo sikunyingi tuna wiki 2 sasa
Kwa suala la Tanesco nampa pongezi lakini kuitumbua IPTL utasubiri sana.
shukrani za kipekee ziende kwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuhakikisha gesi inafika dsm...