Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Hongera kwa ushindi mkubwa mwenyekiti,
Ninatumaini unafahamu kabisha jinsi tume ya uchaguzi inavyofanya kazi, kwa haya yanayoendelea hatuna Imani na tume hii kusimamia uchaguzi 2020. Tunakuomba usimamie tume huru ya uchaguzi kabla hatujafika katika uchaguzi ujao.
Kwakweli tumechoshwa na kauli za kejeli na dharau na ubabe kutoka juu.
Ninatumaini unafahamu kabisha jinsi tume ya uchaguzi inavyofanya kazi, kwa haya yanayoendelea hatuna Imani na tume hii kusimamia uchaguzi 2020. Tunakuomba usimamie tume huru ya uchaguzi kabla hatujafika katika uchaguzi ujao.
Kwakweli tumechoshwa na kauli za kejeli na dharau na ubabe kutoka juu.