Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,466
Kweli tumetofautiana Sana kufikiria...Sasa wewe bendera ikibadilika Nini unaongezewa?
Yaani Hilo ndo la muhimu kwako
Yaani Hilo ndo la muhimu kwako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ndugu unadhani kwanini kila nchi INA Bendera duniani!Kweli tumetofautiana Sana kufikiria...Sasa wewe bendera ikibadilika Nini unaongezewa?
Yaani Hilo ndo la muhimu kwako
Inajulikana lakin sidhani Kama ndo kipaumbele kwa nchiKwani ndugu unadhani kwanini kila nchi INA Bendera duniani!
Rangi ya Bluu imetokana na Rangi ya Bendera ya Zanzibar naona umekosa Kazi ya Kufanya ebu Tafuta Kazi ufanye,chukua haya Jembe ukalimeNyota huwakilisha nguvu ya Taifa hivyo kuwa na nyota mbili ktk bendera ni kuwakilisha nguvu ya nchi Bara na visiwani.Pia tutatoa ajira kwa wabunifu kushauri ziwekwe pembe ipi,na ziwe za rangi ipi.
Mbili na mwisho,nitamuomba kama Rais na baba wa Watanzania apitie upya barua yangu niliyomtumia mwaka 2018 ikiwa tu watumishi wa Ikulu hawakuimisplace na kutomfikia,nilituma kwa njia ya EMS tokea Kahama,na Posta huwa na reference ya kilakilichotumwa ikiwemo tarehe na mtu aliyetuma.
Hhahahahahaa... Mbavu zangu mimi.jamani..ni usk Ila nimecheka kwa nguvuuuRangi ya Bluu imetokana na Rangi ya Bendera ya Zanzibar naona umekosa Kazi ya Kufanya ebu Tafuta Kazi ufanye,chukua haya Jembe ukalime
Kwa nini huendi mahakamani, liwe shauri la kikatibaNyota huwakilisha nguvu ya Taifa hivyo kuwa na nyota mbili ktk bendera ni kuwakilisha nguvu ya nchi Bara na visiwani.Pia tutatoa ajira kwa wabunifu kushauri ziwekwe pembe ipi,na ziwe za rangi ipi.
Mbili na mwisho,nitamuomba kama Rais na baba wa Watanzania apitie upya barua yangu niliyomtumia mwaka 2018 ikiwa tu watumishi wa Ikulu hawakuimisplace na kutomfikia,nilituma kwa njia ya EMS tokea Kahama,na Posta huwa na reference ya kilakilichotumwa ikiwemo tarehe na mtu aliyetuma.
Don Nalimison a.k.a Deogratius Kisandu alianza Kama wewe. Mdogomdogo akajikuta anataka kumuoa Malia Obama, Mara akaanza kuandika kule Facebook kuwa ananyege, serikali isimpangie mwanamke wa kum..... Kufumba na kufumbua, jela miaka mitatuNyota huwakilisha nguvu ya Taifa hivyo kuwa na nyota mbili ktk bendera ni kuwakilisha nguvu ya nchi Bara na visiwani.Pia tutatoa ajira kwa wabunifu kushauri ziwekwe pembe ipi,na ziwe za rangi ipi.
Mbili na mwisho,nitamuomba kama Rais na baba wa Watanzania apitie upya barua yangu niliyomtumia mwaka 2018 ikiwa tu watumishi wa Ikulu hawakuimisplace na kutomfikia,nilituma kwa njia ya EMS tokea Kahama,na Posta huwa na reference ya kilakilichotumwa ikiwemo tarehe na mtu aliyetuma.
Tuweke nyota nyingi nyingi ipendeze kama hii?Kwani ndugu unadhani kwanini kila nchi INA Bendera duniani!
tusi kali sana hili, ningeacha tumia JF mazimaKweli tumetofautiana Sana kufikiria...Sasa wewe bendera ikibadilika Nini unaongezewa?
Yaani Hilo ndo la muhimu kwako
Ushauri wangu ajira, watu mwaka wa tano huu tunasugua bench.Ushauri kwa Mheshimiwa Mwenyekiti CCM Taifa pia akiwa Ndie Raid wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2015-2020 na 2020-2025 inayofuata
Kuusema ukweli asieziona juhudi zako na Uzalendo wako Akajinyongee makamasi .
Niombe kusema kero yangu moja nitamalizia maoni.
1-Chama Cha Mapinduzi ndicho kinachounda Selikali za Mitaa hadi Selikali kuu je huyu Mwenyekiti wa Selikali ya mtaa wa Igombe B alipata wapi ujasiri wa kuwaambia Viongozi wake wa Tawi CCM wavue sare za,CCM waziweke chini?
Alipata wapi udume wakusema ni marufuku kuvaliwa safe za CCM kwenye vikao vyake anavyoitisha?
-Vitendo na kauli hizi ni uhaini dhidi ya Chama Cha Mapinduzi nisawa na kutangaza mapinduzi ama uasi .
Hatua zilizo chukuliwa.
1-Secretariet ya Tawi niliielekeza ifanye kikao na wahusika iwahoji .
2-Bada ya kuwahoji iandae taarifa ya kikao na iwasilishwe kwenye kikao cha Kamati ya Siasa cha Tawi ambacho Mimi ndie Mwenyekiti na taarifa yao ikiwa watakutwa na hatia Secretariat ije na mapendekezo ya hatua gani zichukuliwe .
3-Secretariat ilifanya yote kwa umahili mkubwa naipongeza.
4-Kwa kuwa walikutwa na hatia kwa kukiri Mwenyekiti wa selikali ya mtaa akikiri alisema alifanya hivyo kutokana na ushauri aliopewa na kiongozi wa chadema kwa uchambuzi zaidi hili linamaanisha yuko tayali kufanya uhaini dhidi ya,CCM kwa maslahi ya chadema kibaya zaidi mtu huyu alikuwa Mwenyekiti wa Tawi CCM kwa miaka isiopungua 5 kabla ya kujihudhuru na kugombea umwenyekiti selikali ya mtaa.
5-Maamuzi ya Kamati ya siasa yasipo pinduliwa na marafiki zake walioko Kamati ya siasa kata
adhabu aliopewa nifunzo kwake na wengine wenye nia ya kufanya makosa yanayo weza kutafsiriwa kuwa ni uhaini.
Na aliewatukana viongozi wa CCM naye hakuachwa aliopewa adhabu pia.
Ninaomba kanuni za Chama Cha Mapinduzi na nyaraka zingine mhimu ziwe pia zinafika kwenye Matawi yetu .
Ushari kwako Rais
Urais ni taasisi na nimzigo anaejua uzito wa huo mzigo ni Rais mwenyewe.
Bada ya kipindi cha pili cha miaka 5 kufikia ukomo 2025 nikutakie Amani ya Bwana akulinde ukimaliza mda wako Ubaki kuwa Baba Mdogo wa Taifa letu kwa kuwa Baba mkubwa wa Taifa Mwl Julius K Nyerere aliisha tangulia mbere ya haki.
Ni AAJK
Mwanza