Status
Not open for further replies.
Hasa ktk Siasa zinavyo wachanganya Watu kiasi unacho kiona sio Halisi katika Jicho la Ukweli.Ninge futahi sana kama Nchi tungekuwa na Mfumo Bora na Mathubuti hata akija Kichaa Nchi iwe inasonga mbele na sio kutegemea Utashi wa Binadam mmoja kuamua kwa ajili ya wengi.
 
Hasa ktk Siasa zinavyo wachanganya Watu kiasi unacho kiona sio Halisi katika Jicho la Ukweli.Ninge futahi sana kama Nchi tungekuwa na Mfumo Bora na Mathubuti hata akija Kichaa Nchi iwe inasonga mbele na sio kutegemea Utashi wa Binadam mmoja kuamua kwa ajili ya wengi.

Ile pombe inayouzwa KLUB AFRICA ina kilevi 700% inanywewa
 
Kwa ujenzi/upanuzi wa hii barabara hii kuu hapa nchi unaoanzia Kimara kuelekea Maili moja. Kutokana na umuhimu wake kiuchumi kwa wingi wa mizigo inayopitishwa na malori, na nafasi ya upana uliopo pande zote nbili za barabara (120m kwa kila upande). Mi ninapendekeza barabara zingejengwa nne kila upande, na pawepo pia na barabara ndo kila upande itakayotumika kwa ajili ya pikipiki za magurudumu mawili na matatu, na sehemu ya watembea kwa miguu. Hili zitakazobakia kwa ajili ya magari ziwe ajili ya kuharalisha wasafiri pamoja na mizigo- mwendo wa chini uwe angalau 50km/hr.
Tukimbizane na maendeleo badala ya kuyafuata kwa kutembea.
 
Kasalimu amri
sf.jpeg
 
Nimekuwa nikimfuatilia Mh Rais JPM kuhusiana na utendaji wake bila kusahau na maamuzi yake.

Ni Rais anayeweza kufanya mambo makubwa na mazuri kwa Taifa letu ikiwa tunaweza kufanya maamuzi magumu kama Taifa ya kutengeneza mifumo imara yenye uwezo wa kujidhibiti na kudhibiti viongozi na watumishi wake!.

Lakini pia tukiwa na mifumo iliyo huru isiyoweza kuingiliwa na mtu au kundi la watu kwa maslahi yao.

Na mifumo hiyo iwe na uwezo wa checks and balances.

Na ikiwa hayo hayawezekani kuwepo katika mifumo yetu tuwe tayari kupokea matokeo yoyote, maana nchi sasa ipo chini ya one man control.

Mh Rais ni Binadamu kama Binadamu wengine anaweza kuwa na mazuri yake na mabaya yake pia!.

Katika mifumo tuliyonayo kwa sasa hatuna mfumo unaoweza kwa sasa kumkosoa, kumshinikiza, kudhibiti, n.k. endapo kutatokea Mh Rais akikengeuka.

Eeee Mwenyezi Mungu tusaidie Rais wetu asikengeuke, vinginevyo tutasaga meno hadi utakapo shuka mwenyewe kunusuru hali itakavyokuwa imejitokeza!.
 
Kutokana na ziara ya Rais anayoendelea nayo katika maeneo mbalimbali ya Tanzania sisi tunaofuatilia ziara hiyo tumegundua kwamba kilio kikubwa cha Watanzania hasa wa vijijini ni Maji Safi.Kama wasaidizi wake hawajaliona hili basi wanapwaya.

Haya mandege yasiyoruka yanaitia hasara serikali ni vyema tukajikita kuwaondolea kero wananchi.
 
Mimi nimeaumua kunyamaza kila ukiongslea kuwa ndege sio kipaumbele kulimo hudu za maji na umeme ndio wanazidi kuagiza ndege mpya ghali za kuja kupakki.
 
Nchi kama China si kwamba anategemewa Raisi wao kutoa matamko bali kuna mifumo. China swala la Rushwa halihitahi kuzungumziwa jukwaani bali mla rushwa akibainika ana nyongwa.
Korea kusini sheria za rushwa ni kari sana Alie kuwa Raisi kwa sasa yuko ndani.

Tanzabia naona man show, kwamba hakuna mifumo bali ni Matamko kwa matamko. Shida ni nini? Kwa nini zisitungwe sheria kari mno na zikatekelezw?

Kwa nini tungoje ziara na kwenda kudhalilisha watu?
 
Nchi kama China si kwamba anategemewa Raisi wao kutoa matamko bali kuna mifumo. China swala la Rushwa halihitahi kuzungumziwa jukwaani bali mla rushwa akibainika ana nyongwa.
Korea kusini sheria za rushwa ni kari sana Alie kuwa Raisi kwa sasa yuko ndani.

Tanzabia naona man show, kwamba hakuna mifumo bali ni Matamko kwa matamko. Shida ni nini? Kwa nini zisitungwe sheria kari mno na zikatekelezw?

Kwa nini tungoje ziara na kwenda kudhalilisha watu?

Na kwa mtindo huu ATACHOKA MBAYA na kwa hakika kabisa, ATAZEEKEA majukwaani...!!

Binadamu ni kiumbe complicated sana, kwamba, siyo mbuzi kuwa ukichoka kumchunga unaweza kumfungia zizini na kwenda kutembea zako mitaani...

Sasa Mr Magufuli anawa treat hawa binadamu kama vile mbuzi.....

Shauri lake, yetu sisi macho na masikio.....

Lakini for sure kabisa, huyu mzee kwa mtindo huu ATAKUFA MAPEMA kabla ya muda wake na mambo ya nchi hii atayaacha yakiwa vilevile...

Ni kwa sababu, anatumia nguvu nyingi sana huku akiwa ameacha MAARIFA na AKILI amezifungia kabatini na Mungu anamtazama tu kuuona mwisho wake maana hata kuomba ADILI (hayo maarifa, hekima na busara) kwa Mungu hataki na badala yake anaongozwa na miungu yake ya kichawi na kishirikina toka Gamboshi...!!
 
Ulivyoandika kama vile wewe ni wa mbegu au iwe ili uandike imekuwa kwa sababu unataka iwe.msimu wa mvua kwa utabiri wako tayar,beba jembe tukapande
Mzee wa Malimali..

Naanza kuziona vurugu na mbwembwe za uongozi wa Magufuli sawa tu na harakati za Lowassa alivyoamini na alivyotuaminisha kuwa hapakuwa na wa kumzuia kuwa Rais baada ya Kikwete 2015...KUMBE WENYE NCHI WALIKUWA WAKIMZOOM TU na kugonga glass za mvinyo!

Magufuli naye ana akili ile ile ya kiburi na kujisikia sana kwamba sasa madhali yuko Ikulu basi hakuna wa kumzuia kutawala Tanzania hadi siku ya kifo chake..

Anafikiri wenzake waliomtangulia hawakuwahi kutamani kutawala baada ya mihula yao ofisini kukoma...pamoja na kwamba hao wenzake ni watu "smart" intellectually and politically kuliko yeye anayebahatisha tu.

Seems haelewi habari iliyomkuta Dr.Salmini

Seems haelewi yaliyomkuta hata Nyerere mwenyewe!

Lkn kwa kadri muda unavyosonga, naona mbio za Magu ni sawa na mtoto anayecheza kwenye matope...lazima apige chini yan!

Huyu jamaa kajipiga vitanzi kuliko alivyodhani anawavisha wengine shingoni..

Kwa hiyo nasema...simwoni Magufuli beyond 2025, na hata sishangai nisipomwona beyond 2020, NEVER SAY NEVER!

POLENI KWA MVUA!
 
Kinachoendelea hivi sasa inabidi kiwe funzo kwa Rais J.P Magufuli!

JK alipoleta msamiati wa "kujimwambafai" tu, mitandao ikaripuka kwa vigelegele! Magazeto karibu yote yakaifanya habari hiyo kuwa ukurasa wa mbele!

Si tu kwa mstari wa mbele, lakini karibu yote yaliashiria kana kwamba huyo aliyeambiwa aache kujimwambafai ni JPM!

Hata wana-CCM wenyewe, kama vile Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ali Hapi, nae akaamini kabisa anayeambiwa aache kujimwambafai ni Rais Magufuli!

Kwanini hadi wana-CCM na wenyewe waamini JK kamsema Magufuli wakati yeye alisema Viongozi waache kujimwambafai?!

Lau kama kauli ile ingetamkwa na Mkapa wakati JK yupo rais, sidhani kama wananchi wangemshuku JK kwamba ndie anajimwambafai!!

Sasa kwanini JPM ionekenane ndie anajimwambafai?! Kumbe hata wana-CCM wenyewe wanafahamu kwamba Magufuli anajimwambafai!

Limekuja hili sasa!

Hivi sasa zinapoonea habari juu ya afya JPM, bila kujali kama ni za kweli au za uongo, kwa mata nyingine, mitandaoni kumeibuka shangwe, huku wengine wakisema wazi "...atangulie safari ya milele!"

Hata wakati JK alipoenda kutumbuliwa tezi dume, sidhani kama waliokuwa wanamuombea arudi akiwa kwenye sanduku walikuwa ni wengi namna hii!

Sasa ikiwa hadi wananchi anaowaongoza miongoni mwao kuna wanaouuombea afe, basi hilo ni tosha kumfanya ajitafakari unless!!

Generally speaking, kwa Tanzania inaonekana jamii iliyopo Mtandaoni ndio jamii yenye uelewa zaidi, hususani walio Jamiiforums na Twitter!

Kwa maana nyingine, miongoni mwa wale wanaoonekana kuwa na uelewa zaidi, watafanya sherehe wakisikia rais wao ame-rest in peace!!

Na ukweli ni kwamba, ni mpumbavu na punguani tu ndie anaweza kudiriki kusema hawa wanaomuombea JPM mabaya ni mafisadi! Hao mapunguani tayari tumeanza kuwasikia wakiongea hizi kauli za kipunguani!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom