Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I guess alitatua na ya akina Lissu, Azory na Ben Saanane!Hakika huyu Rais anawezea mambo, anatatua matatizo ya wananchi in a very peculiar and funny ways. Anamaliza matatizo huku wanachi pia wakipata burudani. Hongera sana rais, umehimiza sana uwajibikaji wa viongozi na kusikiliza kero za wananchi. Hongera wana Nkasi kumpokea Rais
yule mama hata ukimwamsha usiku wa manane akiwa na wenge, umwambie apige kura ya urais atampigia mzee baba!!
"maendeleo hayana chama" Mzee baba alisemaUlitaka ampigie nani?
Hivi wahaya mmekuwaje , mbona kama mmekunywa maji ya ajabu!Hakika huyu Rais anawezea mambo, anatatua matatizo ya wananchi in a very peculiar and funny ways. Anamaliza matatizo huku wanachi pia wakipata burudani. Hongera sana rais, umehimiza sana uwajibikaji wa viongozi na kusikiliza kero za wananchi. Hongera wana Nkasi kumpokea Rais
weka namba yako ya simu kuna nafasi ya ukuu wa wilaya ya kilolo huko panahitaji wazalendo kama wewe.Hakika huyu Rais anawezea mambo, anatatua matatizo ya wananchi in a very peculiar and funny ways. Anamaliza matatizo huku wanachi pia wakipata burudani. Hongera sana rais, umehimiza sana uwajibikaji wa viongozi na kusikiliza kero za wananchi. Hongera wana Nkasi kumpokea Rais
Ni rahisi bora kuwahi kutokea
Nilikuwa kwenye forum fulani ya kiarabu wanamsifu balaa Magufuli
Rais not rahisi.Ni rahisi bora kuwahi kutokea
Nilikuwa kwenye forum fulani ya kiarabu wanamsifu balaa Magufuli
Hakika huyu Rais anawezea mambo, anatatua matatizo ya wananchi in a very peculiar and funny ways. Anamaliza matatizo huku wanachi pia wakipata burudani. Hongera sana rais, umehimiza sana uwajibikaji wa viongozi na kusikiliza kero za wananchi. Hongera wana Nkasi kumpokea Rais