Status
Not open for further replies.
Tunachoomba kwa Rais wetu atujengee taasisi imara KIKATIBA. Hiyo ndio legacy itakayodumu sana.

Dola ni ileile na chama tawala ni kilekile. Bahati nzuri na viongozi ni walewale awamu zote hizo.
Wanafanya kupokezana kijiti tu na kutesana kunaendelea.

Tuchomoe DOLA ikae pembeni hata kwa wiki moja uone 'uimara' wa CCM yetu ulivyo.

Demokrasia ya ccm imeshikiliwa na Ikulu tu.
Nje ya Ikulu Chama cha mapinduzi ni cha kawaida sana.
Unayoyaona kwenye Vyama vya upinzani leo ndio yawezakuwa ya ccm nje ya Ikulu.

Pasipo ufanisi? Lakini pia tunatofautiana kwenye kuona ufanisi wa Rais ni zaidi ya nchi? Ankal you are not serious.

Binafsi support yangu kwa Rais iliisha siko alipochaguliwa. Mapenzi yangu yalihamia kwa nchi sio kwa kamtu kamoja.

Awamu hii watu wanatekwa, wanashambuliwa kwa risasi, wanabambikiwa kesi zisizo na dhamana. Utaipendaje awamu hii?

mr yamoto.
Ulichoandika kinafanana na avetor yako.
 
Inabidi tumsubiri tu amalize muda wake. Hakuna namna!

Watanzania huwa hawako serious kwenye masuala ya siasa.
Katika awamu zote nne zilizopita, ni kulia lia tu mitandaoni kama hivi. Hakuna hatua binafsi ya kuonesha hisia, akitokea mmoja akajitolea mhanga akasema tuandamane kwa amani kuonesha hisia zetu...itakula kwake.

Povu jingi tu huku mafichoni!!
 
Inabidi tumsubiri tu amalize muda wake. Hakuna namna!

Watanzania huwa hawako serious kwenye masuala ya siasa. Katika awamu zote nne zilizopita, ni kulia lia tu mitandaoni kama hivi. Hakuna hatua binafsi ya kuonesha hisia, akitokea mmoja akajitolea mhanga akasema tuandamane kwa amani kuonesha hisia zetu...itakula kwake.

Povu jingi huku mafichoni!!
Kama umesoma baada ya vita na Idd Amin, nikupe pole mapema.
 
Kwakweli kiongozi huyu anachefua kama mzoga!!

Anapenda sifa za kijinga utadhani hajaenda shule kabisa! Naanza kukubali kuwa huenda sio Mtanzania kwa asili huyu!

Anafanya mambo yasiyoingia akilini kabisa
 
Mlipewa nafasi ya kubadili katiba na Jk mkaichezea.miezi mitatu mnabishana tu,mara nukta hakuna,mara neno halina maana ,mwisho mkashindwa kupitisha katiba pendekezwa ambayo ilikua na jibu la kilio chenu.kikuu ambacho.ni tume huru na matokeo ya urais kuhojiwa
Mngeanza walau na hayo,badala yake mkataka mambo yenu yote 100% yapite,itawezekana wapi
Kwa Magufuli katiba mpya sio sera yake,hilo mlisahau until next time!
Kuna point hapa mkuu. Mgeni wako ukimdai milioni 10, akikupa hata 4 pokea kwanza halafu endelea na madai yaliyobaki.
 
Inaonesha asilimia kubwa sana ya watanzania wameathirika na mfumo wa uongoz uliopita wa kimaamuz na matumizi yasiyo na msingi,,,
 
Nakupongeza kwa pongezi sizizo kifani
Yaliyokua yanafanyika ulanga na kirombelo. Yanafanyika katika wilaya nyingi za nchini mwetu tanzania wananchi wanyonge hutozwa fedha kwa visingizio kama alivyodokeza waziri mku na kukwepesha ziara za viongozi wa ngazi za ju kutofika kusikiliza kero za wananchi dhidi ya watendaji na viongozi nakutakia kheri kwa afya na kazi yako na mdafikia sehemu hizo ili kuondoa dhulma na ufisadi uliyoota mizizi aksante
 
wana jamvi
nikili wazi Mimi ni Moja ya watu wanaofurahishwa sana na utendaji Wa jpm, na kuna wakati naona hapewi sifa anazostahili.
lakin jumamos ya tarehe 5/10/2019 imefungua upya uelewe wangu, yaan nilisikitika sana kusikia jpm akisema wazi wazi kuwa Haoni mtu Wa kuendeleza mazuri anayoyafanya isipokua yeye tu, akimaanisha huenda itabid aendelee kuwa raisi mpaka akimaliza miradi yake.
swali langu kubwa Kwa raisi wangu jpm ni hili
kwa Kua hatujui Siku Wala saa ya kuondoka hapa dunian ,ikitokea Israel amekuchukua week ijayo unamaanisha Tanzania itakufa ?
kwa kuwa una umri unaoelekea70 na umri Wa mwanadamu kuishi akiwa na Akili timamu si zaid ya 85 ,unamaanisha baada ya miaka kama 20 ijayo Utakua imepoteza utashi,hivyo Tanzania tutapoteana ?

nakuomba sana Raisi wangu Fanya jambo hili Moja ,tutakukumbuka
1.weka mfumo Wa kiutendaji ambao tukitazama maendeleo ya nchi tusifie mfumo na sio mtu , mtu hufa hata ndani ya dakika 1 ijayo lakin mfumo haufi kirahis.
kwa Sasa mazuri yamefanyika juu ya mabega yako Na si juu ya mfumo.
wewe ni mwanadamu ,ni udongo tu ,ni maiti ya kesho ,mazuri unayoyafanya yatapotea siku Moja maana hayajajengwa juu ya mfumo.
wezesha mahakama,bunge na serikali kuu zifanye kazi kimfumo.
utapata wapokezi wako wema na wenye uelewa huenda mkubwa kuliko wako huko mbelen,
ni Mimi kijana ninayeandika haya nikiwa na huzun sana maana sijui cku Wala saa utakapotutoka

Hivi ni kwanini mnahangaika / mnateseka sana na ' ukomo ' wa Rais JPM? Nasisitiza tena kuwa Rais JPM hatoongoza zaidi ya Mihula yake Miwili na hili nina uhakika nalo tena kwa 100% zote na hata Yeye mwenyewe anajua kuwa hatoongoza zaidi ya hapo kwani anajua Miiko ya CCM pamoja na taratibu zake hivyo huwa nawashangaa mno ' Waswahili ' mnaumiza Vichwa vyenu juu ya Urais wake. Na kwakuwa ameshajua kuwa wengi wenu ( hasa Wapinzani ) mnateseka nae sasa ameamua ' Kuwajambisheni / Kuwatia Roho juu ' ili muumie zaidi, mumjadili huku mkiacha Kuviimarisha vyama vyenu na mkija Kushtuka mwakani mnakuta CCM imepata Kura nyingi na mnabakia tu Kulalama / Kuzoza kuwa mmeibiwa Kura wakati si kweli bali Watanzania ni waelewa na wameshawajua kuwa Wapinzani hamna jipya zaidi ya Majungu pekee.
 
Hivi ni kwanini mnahangaika / mnateseka sana na ' ukomo ' wa Rais JPM? Nasisitiza tena kuwa Rais JPM hatoongoza zaidi ya Mihula yake Miwili na hili nina uhakika nalo tena kwa 100% zote na hata Yeye mwenyewe anajua kuwa hatoongoza zaidi ya hapo kwani anajua Miiko ya CCM pamoja na taratibu zake hivyo huwa nawashangaa mno ' Waswahili ' mnaumiza Vichwa vyenu juu ya Urais wake. Na kwakuwa ameshajua kuwa wengi wenu ( hasa Wapinzani ) mnateseka nae sasa ameamua ' Kuwajambisheni / Kuwatia Roho juu ' ili muumie zaidi, mumjadili huku mkiacha Kuviimarisha vyama vyenu na mkija Kushtuka mwakani mnakuta CCM imepata Kura nyingi na mnabakia tu Kulalama / Kuzoza kuwa mmeibiwa Kura wakati si kweli bali Watanzania ni waelewa na wameshawajua kuwa Wapinzani hamna jipya zaidi ya Majungu pekee.

Usiseme Watanzania,

Jisemee wewe.

Umefanya lini sensa au kura ya maoni kwa Watanzania?

Kwa taarifa tu ni kwamba Watanzania wanataka aondoke hata leo.
 
Usiseme Watanzania,

Jisemee wewe.

Umefanya lini sensa au kura ya maoni kwa Watanzania?

Kwa taarifa tu ni kwamba Watanzania wanataka aondoke hata leo.

Mbona na Wewe hapa umesema Watanzania wanataka hata leo aondoke je, ni lini uliongea nao wote na wakakuhakikishia hilo? Pathetic.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hivi ni kwanini mnahangaika / mnateseka sana na ' ukomo ' wa Rais JPM? Nasisitiza tena kuwa Rais JPM hatoongoza zaidi ya Mihula yake Miwili na hili nina uhakika nalo tena kwa 100% zote na hata Yeye mwenyewe anajua kuwa hatoongoza zaidi ya hapo kwani anajua Miiko ya CCM pamoja na taratibu zake hivyo huwa nawashangaa mno ' Waswahili ' mnaumiza Vichwa vyenu juu ya Urais wake. Na kwakuwa ameshajua kuwa wengi wenu ( hasa Wapinzani ) mnateseka nae sasa ameamua ' Kuwajambisheni / Kuwatia Roho juu ' ili muumie zaidi, mumjadili huku mkiacha Kuviimarisha vyama vyenu na mkija Kushtuka mwakani mnakuta CCM imepata Kura nyingi na mnabakia tu Kulalama / Kuzoza kuwa mmeibiwa Kura wakati si kweli bali Watanzania ni waelewa na wameshawajua kuwa Wapinzani hamna jipya zaidi ya Majungu pekee.

SWALI MKUU.
Hivi anaepaswa kulinda katiba ya nchi ni nani?
Mwananchi?
Usalama wa Taifa?
Jeshi?
Mahakama?
Bunge?
Au Rais?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom