cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 26,768
- 73,435
Unaandika hutaji lolote.. huna la kuandika juu ya unachomuomba.. hata miaka mitano 5 unalalamika shwiiiiiiii
Unaonesha unauchungu na nchi hii unahitaji taifa lisonge mbele tunakupongeza kwa jitihada unazoendelea kuzichukua kuboresha miundombinu lakini kuna mambo madogo inabidi uyafanyie kazi ili wananchi waendelee kukuunga mkono juhudi zako kuna watu wanasema wanahitaji democrasia ni jambo zuri lakini kwa mawazo yangu mimi tanzania Tunahitaji rais mkweli na muwazi kama nyerere ambaye alikuwa anakubali kabisa kuna mambo amefanikiwa nakuna mengine amekosea kipindi cha uongozi wake tofaut na uongoz wa sasa kuna mambo mengi watu wanabolonga lakini wamekuwa wanataka sifa