Ndikwega
R I P
- Feb 1, 2012
- 5,979
- 5,524
Kwambe ajue hapa Duniani wote ni Wapitaje na Je analijua hilo?YAH: kichwa cha habari tajwa hapo juu☝
Wanasema samaki ana mengi na hata siri za kuteta ila......ndio tatizo.
Hebu turudi kwenye mada husika, hivi ikitokea siku ya leo ukakutana uso kwa uso na rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mheshiwa J.P Magufuli je ni swali lipi ungependa kumuuliza!? Au ni jambo lipi ungependa kumwambia!?
#Amoun.