comred
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 1,867
- 1,602
Tutateua sana...
Tutatengua sana...
Mwishowe tutaona wote hawafai.
Suluhisho ni kuwa na Taasisi Imara na siyo Mtu Imara.
Na hii itapatikana kupitia KATIBA MPYA. Serikali iliyo madarakani pia inahitaji katiba mpya, tukiendelea na katiba hii, tutateua sana, tutatengua sana lakini good achievement nduhu.
Katiba mpya kwa watanzania wazamani au na wao wapya..Hizo tahasisi imara zitaundwa na watanzania gani kama sio hawa hawa..
Hatuitaji katiba mpya kwa sasa, iliyopo inatosha. Kiongozi mwenye maono ndie tunaitaji kwa sasa ndizo hizo taasisi zitapata watu wenyeweledi wakuzisuka..