We wivu unakusumbua siku zote. Halmashauri zote Zina maofisa habari, lakini pia Tanzania ya Leo Vyombo vya Habari kila mahali, na Hawa niliowataja Kazi zao zinaonekana na zinawatangaza. Hao wengine kwa Nini kazi zao zisi attract media?mtu ateuliwe kutokana na kuwajibika na kusimamia vizuri majukumu yake na si kujitangaza. kuna wakuu wa wilaya wengi wanafanya kazi nzuri sana ila kwa kuwa wapo mbali na vyombo vya habari , basi hatusikii wanayofanya. hata mimi mwenyewe naweza kujitangaza au nikatumia watu wanitangaze ili niteuliwe ningali najua kabisa sina dhamira ya kuwatumikia wananchi kwa dhati ila kukitumikia cheo.
Mi nipo Kaliua huku Mheshimiwa. Dah, nilimsahau na huyu kijana asie na mbwembwe huku Kaliua, huyu nae Mheshimiwa nakuomba uumpe nae hata V8 maana hii LX ya msaada wa UNHCR siipendi kutokana na hayo maandishi ubavuni, na kwa kazi anazofanya anahitaji V8 kwakweli.Hee umekosa fursa ya kumpenyezea huko magogoni
sio kwamba hazi-attract media ila hawana mambo ya kuita vyombo vya habari katika kila tukio.ukimuangalia jokate ni mtu wa media sana, gondwe alikuwa mfanyakazi wa ITV na hali kadhalika huyo mwengine ni media kwa sana. unaweza kuta wanayoyafanya wenzao walifanya muda ila hawakupata media coverage kama wanavyopata wao na kuonekana wao ndio waanzilishiWe wivu unakusumbua siku zote. Halmashauri zote Zina maofisa habari, lakini pia Tanzania ya Leo Vyombo vya Habari kila mahali, na Hawa niliowataja Kazi zao zinaonekana na zinawatangaza. Hao wengine kwa Nini kazi zao zisi attract media?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe! Let's hope in his next term labda atawapa Majuku ya kina Mavunde, Lugola, Mwanjelwa, na mizigo mingine!Bila kumshau mhe.Eng Evarist Ndikolo RC Pwani
Angalia usisababishe Mzee wa Impossible missions akalia. Huyu aende nae Dodoma akamsaidie kulichangamsha jiji jipya.Kwa ubunifu wake na utulivu Jokate anafaa sana kuwa RC wa Dar.
Kwa upuuzi na impossible missions kwakweli HAWAMFIKII! UPO SAHIHI!Hao wote hakuna wa kumfikia Makonda.
Kwa ubunifu wake na utulivu Jokate anafaa sana kuwa RC wa Dar.
UPO SAHIHIKwa upuuzi na impossible missions kwakweli HAWAMFIKII! UPO SAHIHI!
Sent using Jamii Forums mobile app