Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,744
- 25,425
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa taarifa yako wizi ndio umeongezekaMlizoea kuishi kwa wizi wizi na ulaghai sasa jembe limevunja kwenye viuno lazima mpige kelele
We unataka wenzio wafukuzwe kaziHapo vip!!
Katika hawamu hii, hawajafanikiwa kuleta na kufanya mpango wa maendeleo inayogusa nchi nzima bali ni hizi program ndogo zinazogusa ukanda fulani, mfano ununuzi wa ndege inamsadiaje mtu wa nachingweya mtwara, au treni ya umeme kutoka dar kwenda mwanza inamsadiaje mtu wa Oldadai -Arusha.
Mfano kipindi cha Kikwete ulianzishwa mpango wa shule za Kata Tanzania nzima na niwazi huu mpango imewagusa na kuwasaidia watanzania wengi katika kila kona ya Nchi.
Pili Kikwete alifanya mpango wa kujenga barabara za lami Nchi nzima na mpango huu imemgusa na kuwasaidia watanzania wote.
Mimi tokea uingie madarakani bado sijaona mpango uliokuja nao Kwa lengo la kuwasaidia watanzania au kuibadisha Tanzania Kwa ujumla, hizi Sijui treni za umeme na ununuzi wa ndege ni projects ndogo ndogo sana.
Hivi washauri wa rais Kwa nini msimshauri vizuri katika eneo la uchumi , mkaacha kumuogopa, Kwanini yeye ni Mungu bhana.
Hivi viprojects vidogo vidogo anavyofanya ni za level za mawaziri na wabunge.
Hilo halina ubishi.Hakuna kipindi Serikali imefanya vizuri kwenye Sekta ya Afya Kama msimu huu wa Magufuli.
Mpaka WHO wametoa riport ya kuridhika na Hali ujue si mchezo.
Bajeti ya Afya imeongezeka Mara Tano zaidi ya ilivyokuwa kipindi Cha wawamu ya nne.
Hakika tuko pazuri.
Mlizoea kuishi kwa wizi wizi na ulaghai sasa jembe limevunja kwenye viuno lazima mpige kelele
CdmKwa mtazamo wako shida na umasikini wa watanganyika vinawapata chadema pekee yao,kumbe mnaenda kuwatia dhiki watanganyika wasio na hatia kwa kuhisi mnawakomoa cdm.
Unanijua sana au we mke wangu nini?
Kwani Maalim Seif anatekeleza ilani ipi kama Makamu wa Rais wa Zanzibar?