JAMII-ASM
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,305
- 524
Watu msiokuwa na shukrani, ni kubeza kila kitu, hamasikia kuwa kesi ya kobe ikomahakamani. Aidha, hao majangili mnaishi nao mtaani, hamtoi taarifa bali kukaa vijiweni na kupiga umbea !!!
Walio pelekwa mahakamani wangapi..na waliofungwa wangapi..? We jangili nini ?