Status
Not open for further replies.
Na sisi hatumpangii kuwa rais next term tunafunga na kuomba.
Hahahahaaa ila Sky na wewe unamkandia sana banaaaaa
Hebu siku mojamoja uwe unamsifia sifia inaweza kusaidia kumpunguzia maflastuesheni yake maana kila nikipigaga nae story hua anakutajataja.

Maendeleo hayana chama
 
Hahahahaaa ila Sky na wewe unamkandia sana banaaaaa
Hebu siku mojamoja uwe unamsifia sifia inaweza kusaidia kumpunguzia maflastuesheni yake maana kila nikipigaga nae story hua anakutajataja.

Maendeleo hayana chama
Anipe ukatibu kata basi, mwambie vyeti vyangu vyote ni halali 😂
 
Anipe ukatibu kata basi, mwambie vyeti vyangu vyote ni halali
Hahahaaaa kama we ni mweupe hata wizara utapewa
Wateuzi hua hatuangalii sana siivii si unamuona hata huyo mkusanya nauli kwenye daladala anajilia tu mema ya nchi.
Mzee Asprin asione hapa.

Maendeleo hayana chama
 
Hahahaaaa kama we ni mweupe hata wizara utapewa
Wateuzi hua hatuangalii sana siivii si unamuona hata huyo mkusanya nauli kwenye daladala anajilia tu mema ya nchi.
Mzee Asprin asione hapa.

Maendeleo hayana chama
Mimi nina rangi ya Oprah si fit in kanda ya Ziwa, kule kwa kina Asprin wanaangalia cv, kule nimetick box zote.
 
Haya banaaaa ila ndio unapishana na mema ya nchi.
Sky michango yako hua inanikoshaga sana sipati picha mngekua mnafanya kazi ofisi moja hilo balaa lake lingekuaje.

Maendeleo hayana chama
Tunasubiri mema ya nchi kutoka Ikungwi mkuu. Maendeleo hayana chama
 
Kwakweli rais atusaidie kitu kimoja tu watu wa Kimara. Aongeze mabasi ya mwendo kasi na kubadikisha menejimenti au
ARUHUSU DALADALA ZA KIMARA KARIAKOO.
 
Nawasalimu wote humu

Kwa muda mrefu huwa nawaza itakuwaje Mhe, Raisi wetu mpendwa akiamua kutoa maagizo kuhusu upandaji wa miti nchi nzima kwa utaratibu kama alioutumia kwenye madawati na maabara? Namaanisha yafuatayo:-

1) Awaite wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote nchi nzima na kufanya nao kikao maalumu kwa ajili ya upandaji wa miti nchi nzima.

2) Aweke mikakati isiyotumia gharama za pesa kutoka serikalini, kama alivyofanya katika ujenzi wa maabara na utengenezaji wa madawati; namaanisha kila kata wachague aina ya miti yenye faida maeneo husika, mfano Matunda, mbao, kivuli au hata miti ya asili (ambayo ni dawa kwa ajili ya kuifanya isitoweke).

Wakishaiaisha aina ya miti, waweke mikakati ya kuiotesha katika vitalu katika idadi kubwa sana kutokana na mahitaji ya eneo husika (naamini 100% inawezekana kwa sababu nimeshafanya kazi maeneo kama hayo).

3) Baada ya kuotesha kila kaya ipewe miti ipande maeneo yanayozunguka maeneo yao wanayoishi, mipaka ya mashamba, n.k mwanzoni kabisa mwa msimu wa mvua ili kuiwezesha miti ipate maji ya mvua na kupunguza kazi ya umwagiliaji.

4) Sheria kali kuhusu miti hiyo ziwekwe kwa wananchi kuhakikisha inakua, mf mti ukifa kwa sababu yeyote ile ya kizembe hatua kali za kisheria zichukuliwe vinginevyo kama kuna aliyeharibu aripotiwe katika ofisi au hata polisi kwa ajili ya uwajibikaji.

Nimeandika kwa kifupi ili kutoa picha kidogo jinsi ya kuifanya lakini, naamini inawezekana na inapendeza sana ikitekelezwa.
Wapande wanaccm ndio itaota

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalimu wote humu

Kwa muda mrefu huwa nawaza itakuwaje Mhe, Raisi wetu mpendwa akiamua kutoa maagizo kuhusu upandaji wa miti nchi nzima kwa utaratibu kama alioutumia kwenye madawati na maabara? Namaanisha yafuatayo:-

1) Awaite wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na wakurugenzi wote nchi nzima na kufanya nao kikao maalumu kwa ajili ya upandaji wa miti nchi nzima.

2) Aweke mikakati isiyotumia gharama za pesa kutoka serikalini, kama alivyofanya katika ujenzi wa maabara na utengenezaji wa madawati; namaanisha kila kata wachague aina ya miti yenye faida maeneo husika, mfano Matunda, mbao, kivuli au hata miti ya asili (ambayo ni dawa kwa ajili ya kuifanya isitoweke).

Wakishaiaisha aina ya miti, waweke mikakati ya kuiotesha katika vitalu katika idadi kubwa sana kutokana na mahitaji ya eneo husika (naamini 100% inawezekana kwa sababu nimeshafanya kazi maeneo kama hayo).

3) Baada ya kuotesha kila kaya ipewe miti ipande maeneo yanayozunguka maeneo yao wanayoishi, mipaka ya mashamba, n.k mwanzoni kabisa mwa msimu wa mvua ili kuiwezesha miti ipate maji ya mvua na kupunguza kazi ya umwagiliaji.

4) Sheria kali kuhusu miti hiyo ziwekwe kwa wananchi kuhakikisha inakua, mf mti ukifa kwa sababu yeyote ile ya kizembe hatua kali za kisheria zichukuliwe vinginevyo kama kuna aliyeharibu aripotiwe katika ofisi au hata polisi kwa ajili ya uwajibikaji.

Nimeandika kwa kifupi ili kutoa picha kidogo jinsi ya kuifanya lakini, naamini inawezekana na inapendeza sana ikitekelezwa.
Naona waanze na Shinyanga, Mwanza na Tabora uoto wa asili ukirudi wafugaji watarudi maeneo yao na kupunguza kuiharibu Tanzania nzima. Naona sasa wameruhusiwa kufugia kila mahali na kulima kwenye vyanzo ya maji ni hatari kuliko vipindi vyote vya tawala zilizopita.
 
Nafikiri tumejiaminisha kuwa kila jambo lazima afanye rais. Wananchi tukijiundia vikundi na kuchangishana kidogo hatuwezi kupanda miti?
Ta mjini kuna bustani na sehemu nyingi tu za kujipumzisha. Sidhani kama rais alikwenda kule na kuwaambia wafanye hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NAUNGA MKONO HOJA KWA 100%,Nchi yetu baada ya miaka 50 mpaka 100 ijayo kuna hatari kubwa sana ya kugeuka jangwa..Maeneo mengi ya Nchi yetu yana uhaba wa miti..Sehem kama Morogoro ambapo zamani ilikuwa ikisifika kwa mito mingi inayotiririsha maji misimu yote iwe kiangazi,masika,vuli,kipupwe nk leo hii imekuwa hadithi za kusimuliwa kwenye vitabu..Watu wanakata miti sanaa na hovyo kwa ajili ya Mkaa na Mbao lakini hawajishughulishi ktk upandaji..January Makamba alianzisha kampeni nzuri ya upandaji miti kuanzia shuleni,kila mwanafunzi anakabidhiwa miche kadhaa ya miti na kuhakikisha anaisimamia hadi inakuwa sijui sasa imeishia wapi maana siiskii tena..Pamoja na kwamba kipaumbele kikuu cha serikali yetu kiko kwenye SGR lakini naamini kwa hili halihitaji pesa nyingi ili kuweza kulifanikisha..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunachohitaji tu ni tamko la Mhe Raisi, ni tofauti na juhudi za waziri hazina nguvu
 
Nafikiri tumejiaminisha kuwa kila jambo lazima afanye rais. Wananchi tukijiundia vikundi na kuchangishana kidogo hatuwezi kupanda miti?
Ta mjini kuna bustani na sehemu nyingi tu za kujipumzisha. Sidhani kama rais alikwenda kule na kuwaambia wafanye hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko watu na tabia tofauti, bila nguvu anazotumia Mhe Raisi, nchi hii haiendi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom