Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,398
Hahahahaaa ila Sky na wewe unamkandia sana banaaaaaNa sisi hatumpangii kuwa rais next term tunafunga na kuomba.
Hebu siku mojamoja uwe unamsifia sifia inaweza kusaidia kumpunguzia maflastuesheni yake maana kila nikipigaga nae story hua anakutajataja.
Maendeleo hayana chama