Toosweet
JF-Expert Member
- May 27, 2012
- 2,141
- 1,982
Kwenu,
Ni jambo la msingi kwa serikali kuhakikisha huduma za maji ,umeme na afya(zahanati/hospitali) zinapatikana kwa uhakika. Huduma hizi ni kichocheo cha maendeleo kuanzia ngazi ya kaya.
Inasikitisha kuona wananchi wanavyoshukuru mbele ya kamera kwa kuwekewa umeme kana kwamba ni hisani.
Kuna wakati wananchi mkoa wa Manyara walinyimwa umeme wa REA kwa kudai fidia ya mazao yao ambaoyo yangeng'olewa ili kupitisha nguzo. Waliambiwa hakuna fedha ya fidia. Wakitaka fidia wasahau umeme.
Huduma za jamii ni wajibu wa serikali, si hisani. Ni mrejesho wa kodi tunazolipa.
Ni jambo la msingi kwa serikali kuhakikisha huduma za maji ,umeme na afya(zahanati/hospitali) zinapatikana kwa uhakika. Huduma hizi ni kichocheo cha maendeleo kuanzia ngazi ya kaya.
Inasikitisha kuona wananchi wanavyoshukuru mbele ya kamera kwa kuwekewa umeme kana kwamba ni hisani.
Kuna wakati wananchi mkoa wa Manyara walinyimwa umeme wa REA kwa kudai fidia ya mazao yao ambaoyo yangeng'olewa ili kupitisha nguzo. Waliambiwa hakuna fedha ya fidia. Wakitaka fidia wasahau umeme.
Huduma za jamii ni wajibu wa serikali, si hisani. Ni mrejesho wa kodi tunazolipa.