Magufuli hakuna analofanya kwa ajiri ya nchi yetu,anachofanya ni kiki kwa ajiri ya maslahi yake binafsi 2020.watz mtandanganywa kwa siasa nyepesi hadi lini? Kama haoni kuwa nchi yetu inakatiba mbovu,kama haoni kuwa sheria zetu ni mbovu ndo maana akaamua kuendesha nchi kwa matamko sasa uzalendo wake uko wapi? Hiyo ni mroho wa madaraka kama waroho wengine ila hata chembe ya uzalendo hanaAwali ya yote nawapa pole watanzania na wapenzi wote wa amani na demokrasia Tanzania. Chadema na wananchi wote waliogubujikwa na kushtushwa na shambulio lililompata Mh Tundu Lissu.
Mimi nataka kutoa maoni na sina shaka yatamfkia bwana mkubwa Raisi Dr.Magufuli.
Raisi,mimi sina chama,ila ni mkerketwa na mshabiki namba moja kwako kutokana na ari mpya na uzalendo ulionao juu ya Tanzania.
Kusema ukweli,Tanzania imechezewa na kuibiw a sana. Nakusapoti kile unachofanya na usirudi nyuma.
Lakini pia,katika tendo jema unalofanya mengine unarudi nyuma. Sitaki kukuhukumu kwa jambo lolote lakin junanmanbo yako wazi.
Suala la upinzani Tanzania limekuwa kama uadui. Upinzani sio sawa mchezo wa miguu au kuonekana wewe ni bora zaid ya yule. Tafsiri niijuavyo ya upinzani ni kusaidiana na kuelekezana pale mmoja anapokuwa anakosea kwa hoja za msingi na zenye maslahi chanya kwa Tanzania.
Upinzani sio mangumi,matusi na kejeli kaka watanzania wengi wanavyofanya.Lazima tutangulize maslahi mbele ya nchi bila kupepesa macho au kuangalia pembeni.
Kumekuwa na siasa katika mashule na kazini nk. Vikundi cya chama mashuleni,huku tunatafuta nini? tumeenda kusoma au kufanya siasa. Pamoja hii sio hoja yangu ya msingi sana naona ni wakati kutenganisha siasa na weledi na pia kutoa siasa makazini na mashuleni.
Mh Raisi Magufuli nikufahamishe tu kuwa mkuu,upo katika vita kali sana ya uchumi. Wazungu na wachina na waarabu huko wanakuangalia sana kwa macho mabaya.Hizi ghasia zinazotokea hapa na pale unaweza ukawapa mwanya mkubwa sana wa kuharibu amani iliyopo.
Pia wapo watanzania wengi ambao hawakutaki na wengine wanaona umeleta kauzibe. Nguvu yake unaweza kudharau lakini itapeleka nchi kubaya.
Tanzania ni nchi ambayo imekuwa tulivu na kipekee sana kwa muda mrefu. Kwasbabu hatukuwa tumejitambua. Huko mbele tutarajie misukosuko kwa mfano kibiti ni mfano halisi wa watu wa nje wanaotaka kuharibu amani yetu. Hawa watu wapo wazungu na middle eastern countries na ndio wafadhili wakuu.
Mh Raisi huu ni mchezo wa akili na tumia akili kuwazidi na ujue utapita wapi kabla ya matukio na baada. Wapo hawatakuelewa lakni naamini ipo siku.
Nakushauri kuongea na upinzani na kuwaweka mbele katika vita hii. Usifanye vita hii pekee yako. Hata ukifa leo,Tanzania itarudi kulekule kutokana na kwamba hujatuonyesha njia na haujatufumbua macho au kutusaidia.Ni wewe tu ndio unashika tochi na kusonga mbele.
Nafahamu nia yako ni njema. Najaribu kufikiri kuwa huna wasaidizi wanaona mbali zaidi ya matumbo yao.