ancillary
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 599
- 946
asha sema fomu alichukuwa mwenyewe,wee tulia hataki ushauriKwa utafiti mdogo nilio ufanya, Nimefahamu kuwa wanao lichelewesha taifa hili kusonga mbele kwa haraka ni wazee walioko kwenye taasisi na mashirika ya umma. Wengi wao wanafanya kazi kwa mazoea na kutoweza endana na kasi ya serikali yako..hivyo basi fukuza wote ikiwezekana umri wa kustafu kazi uwe miaka 45.
Ajiri vijana wengi uwezavyo..hawa wana nguvu na ari ya kufanya kazi kwa bidii..na wana uwezo wa kwenda na kasi ya serikali yako. Hivyo basi hata dhana ya viwanda itafanikiwa kwa kiasi kikubwa. Nawasilisha