Watumishi hawayasemi haya! Tunalalamika nao tu huku nje si ambao hatujaajiriwa..tunasema maisha yanapanda..mafuta ya kula yamepanda mafuta ya gar yamepanda mkaa pia umepanda..kumbe wenzetu wanakula nema kimyakimya?Habari ya sabasaba wanajamii!
Moja kwa moja kwenye mada. Kwa mambo aliyoyafanya mama kwa watumishi ndani ya muda mfupi mfano:
1. Kaanza kulipa malimbikizo ya muda mrefu...
Tusubiri mrejesho wa kikao cha baraza la mawaziri cha jana!Ile tume ya tozo ambayo aliunda hivi karibuni mbona hatuoni Majibu?
Hata mmoja unatosha kabisaMitano inamtosha
Ndo nzuri Ili wathibitiane,kila mmoja amuogope mwenzakeNi ngumu sana kutenganisha hizi kofia mbili. Vinginevyo nchi itakuwa na watawala wawili tena wa chama ndiye atakiwa 'threat' zaidi kwa mwenzake.
Miezi hata 8 hivi inamtosha au hata chini ya hapoHata mmoja unatosha kabisa
OkUshauri mzuri na mfupi
Kweli tutasonga haraka kuliko hiki kiini macho cha katiba na vyama.
Kamati itakuwa Dubai kufanya majumuisho ya tume 😂😂😂😂😂Ile tume ya tozo ambayo aliunda hivi karibuni mbona hatuoni Majibu?
😁😁😁 Kweli kabisa! Hiyi awamu ya sita, watanzania tuna furaha sana!! 😜Nichukue nafas hiyi kuipongeza serikali yetu pendwa ya mh rais wa awamu hiyi
Kwa kutufanya wananchi wake tuwe na faraja na amani ndani ya mioyo yetu.....