Sioni kama kamponda mama nimeona amesema tu ukweli kwamba rais ni lazima awe karibu na watu wake ajue shida zao........mara moja moja atembee na gari aongee na wananchi wake bana....
Sasa Kwa safari alizofanya mama muda aliohudumu katka kiti hcho cha uraisi ilikua ni muda sahihi kutumia gari!!?Pili kuhusu usafiri raisi hajipangii hyo ni kazi ya watu wengine ,Mh aliepita RIP tunajua kuwa si Kwamba alipenda tumia magari ila wanaopanga walijua Kwa afya yake anahitaji gari zaidi kuliko ndge sasa unapotoa hoja halafu hauwi rational ndipo watu wanakutuhumu kuwa pengine Una mambo binafsi na mtu fulani.
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
wasukuma bana mnateseka sana
 
yaani mama ni antisocial kabisa ufafiri wake umekuwa wa ndege hizihizi zinazopata hasara

ziara zisizo na maana ni mzigo mkubwa kwa wananchi maana msafara wako ni mkubwa Sana

kumbuka usiturudishe kuwa watembeza mabakuli wa kupokelewa kwa farasi na malikia wa uingereza huku wakikulaghai kusaini mikataba ya kilaghai

nakushauri Anza kuwa karibu na wananchi wako yaani hizo ziara agiza wengine
Hivi Bwana Musiba una ID ngapi humu JF?
Kazi yako kumponda mama tu keng€ wewe, utajitafuta mwaka huu toka mume wako afariki
 
A
Sioni kama kamponda mama nimeona amesema tu ukweli kwamba rais ni lazima awe karibu na watu wake ajue shida zao........mara moja moja atembee na gari aongee na wananchi wake bana....
Atafanya hivyo siku moja moja akipata nafasi...kumbukeni rais ana wasaidizi wengi wanaoweza kusikiliza shida za wananchi na kutatua...rais ni ngazi ya juu kabisa...msilazimishe approach ya aliyepita iwe ya sasa...anaweza pia chukua approach ya mkapa...msikariri ya mtangulizi ambae alikuwa na malengo yake
 
Ubarikiwe sana kwa kuibuka na thread yenye mashiko kulingana na muda tulio nao.

Wamenuna sana na sasa wanakuja na visababu uchwara ili mradi wanampinga rais.
Tuwaambie waelewe kuwa safari ya kweli ya kuelekea nchi ya asali na maziwa ndio inashika kasi,hawataki wait wabakie jangwani.
 
Nyie mnao mpinga rais lazima tutawakomesha
Hao ni kuwaelewesha taratibu,huenda hawakubahatika kusomea darasani,ila chini ya ile moto mikubwa ya kivuli hulu wakikaa kwenye jiwe,mazingira kama hayo lazima yaathiri kiwango cha uelewa wa mtú.
 
Hao ni kuwaelewesha taratibu,huenda hawakubahatika kusomea darasani,ila chini ya ile moto mikubwa ya kivuli hulu wakikaa kwenye jiwe,mazingira kama hayo lazima yaathiri kiwango cha uelewa wa mtú.
Nimekuelewa boss
 
Ndugu Watanzania,
Kila Raisi ana namna yake ya kufanya mambo( kuongoza) tusimlazimishe mama afanye mambo kama MH hayati Magufuri. Magufuri kaiongoza Tanzania kwa muda mchache tu, sasa tusimfanye yeye ndo akawa template ya uraisi wa JMT. Ni kweli kuna mambo tunaeza tukafanya reference kutoka katika uongozi wake. Na kuna vitu hatuhitaji reference kutoka kwake.

Watanzania mwacheni mama apige kazi, afufue huu uchumi ulokuwa unaenda shimoni, maswala ya uchumi huwa ni Kanuni na sio propaganda kama tulivyozoea.

Mama kanyaga twende, tuko nyuma yako.
 
Kuna mtu amemzuia kufanya kazi?
Hakuna mtu anayemzuia kufanya kazi, shida ni pale watu wanapotaka atekeleze majukumu yake kwa namna na taratibu za mtangulizi wake, ndipo wanapokesea,Kila mtu ana stahili yake, ndiyo matatizo ya kuzoea,watu walishazoea,kukemewa na kugombezwa wandhani ndiyo njia pekee. Kuna mambo ya kurekebisha,kuna ya kuacha na kiasi kuna ya kufuata,atafanyaje??hiyo siyo lazima kufuata ya mtangulizi,
 
Hakuna mtu anayemzuia kufanya kazi, shida ni pale watu wanapotaka atekeleze majukumu ya kwa namna na taratibu za mtangulizi wake, ndipo wanapokesea,Kila mtu ana stahili yake, ndiyo matatizo ya kuzoea,watu walishazoea,kukemewa na kugombezwa wandhani ndiyo njia pekee. Kuna mambo ya kurekebisha,kuna ya kuacha na kiasi kuna ya kufuata,atafanyaje??hiyo siyo lazima kufuata ya mtangulizi,
Yeye ndiyo kasema yeye na mwendazake ni kitu kimoja
 
Mama naomba uiangalie hii idara. Ukanjanja na ujuaji wa hovyo mpaka kujifanya miungu watu (wanademka). Passport ni haki ya kila mtanzania ila sasa ukiritimba uliopo utafikiri unaenda mbinguni. Waangalie kwa umakini utendaji wao wa kazi. #kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom