Nyuma yake mama Samia Kuna watu wana-contor Disition zake akileta ubishi nayeye atawekwa pembeni Kama ilivyokua kwa Jiwe...unasemaje kijana??
Mama Wafute watanzania Machozi. Magufuli alipeleka vilio kwa Watanzania wengi. Leo sisi Tunamlilia yeye kwa Uchungu, maana si dhani kama aliona kuwa aliyotufanyiani makosa mbele za Mungu. Huenda Hakutubu, sas msaidie Mpendwa wetu kwa kumtakasa.Mh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:
1.Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2.Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3.Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4.Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5.Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7.Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8.Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.
Kamaliza Kazi Mola aliyompangia duniani kwake karejeaMungu amsaidie 'Iron lady' Mama Samia! Baba kaondoka lakini mama yupo!
Anaanzaje kuwchana na kina bashiru kisha aungane na majizi na matetezi ya MIGA?Wengi wa waliokuwa that close to Magufuli, huyu Mama akiendelea kuwa-maintain kwenye system watamsumbua na wanaweza kumyumbisha. She need to come up with a good mix since kuna baadhi ya watu wachache wa Magufuli ni wazuri tu!...
Kundi la magufuli linajulikana sana na pia sio kama kauli za mama hazipo zenye utataTutajie wanaofaaa
Katika watu hatari ni Bashiru! Trust meAnaanzaje kuwchana na kina bashiru kisha aungane na majizi na matetezi ya MIGA?
CAG wa sasa.Wakuacha kabisa ni
Polepole
Mwigulu
Kabudi....
Hakika sema watu wanadhani kwa mfumo uliyopo tunaweza kutoboa .Futa kazi wote. Anza na CDF, Baraza la Mawaziri, IGP, Mkurugenzi wa TISS, sambaratisha wote.
Yeah. Wa kuambatana nao wawe ni Lissu, Zitto, Kigogo, Fatma K, Mange, Lema, Mdude...natumai nchi itasonga mbele kwa kasi ya ajabuWakuacha kabisa ni
Polepole
Mwigulu
Kabudi
Kalemani
Bashiru
Ndalichako
List goes on