Syolosu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2019
- 867
- 1,008
Hoj
Hoja za chuki bila busarasiungi mkono hoja hizi
Hoja za chuki bila busarasiungi mkono hoja hizi
😂😂😂naiona roho ya Magufuli ikifanya kazi kwa kasi ya ajabu kupitia Mama Samia! Wezi mtajiju! Siyo kwa mapovu hayo! Magufuli's secret weapon Mama Samia ndio kapewa rungu! Gogogogo 'Iron lady' go go go!Eti "mtatamani aendelee kutawala mda mrefu!".........
Hivi ww una makamasi kichwani mwako? Utatama
Hii ya kurundika mada zote kwenye uzi mmoja, sometimes nahisi inatumika kufifisha mada wasizozipenda kwasababu wanazozijua waoMaoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan
Ila Membe amekosa umakamu rais kizembe 😂😂😂www.jamiiforums.com
Bora waibadili tu ili tuendane na hali halisi ambayo huenda imechangiwa na watawala waliopo leo hii.Nami nimeshangaa mkuu... huo uzi wako niliuona dakika chache tu ulipoupost ila nilipojaribu kuufungua kumbe muda huo huo umeondolewa. Dah, sijui kwa nini? JF inapoteza slogan yake kw kweli
Kwanini huungi, wakti wote tunakubaliana haya mamiradi ndo yamefanya hera ipungue mifukoni mwetusiungi mkono hoja hizi
bora ikamilike kuna fedha nyingi sana za wananchi pale. Ushauri tuikamilishe ila kwa awamu siyo yote kwa wakati mmoja kama ilivyokuwa inajengwa yote kwa pamoja kwa gharama ya haki za makundi mengineKwanini huungi, wakti wote tunakubaliana haya mamiradi ndo yamefanya hera ipungue mifukoni mwetu
Unaweza kuwa mtoto wa jiwe weweMh Rais katka mambo ya kufanya hakikisha unafanya yafuatayo:
1.Futa wilaya ya Chato ibaki kata
2.Futa Mpango wa kuipa Chato Mkoa
3.Futa Mpango wa kujenga Daraja la Mwanza la ziwani
4.Ondo miradi ya Maendeleo ya maji chato
5.Ondoa makao makuu Dodoma, na turudi Dar
6. Futa strogiers gourge..tuendeleze gas na tuwape makampuni binadsi kuzalisha umeme ili tupate ajira zaidi
7.Futa SGR ili hera ziendele kwenye maendeleo ya watu na siyo ya vitu
8.Fut mambo ya EFD kwani yanasababisha biashara kusinyaa.
Mkuu,Uzi wangu ni mwepesi sana.najua hiloUzi wako mwepesi sana acha mihemko unapooandika utapata comment bila hivyo wapiga kelele
Mimi naona sawa tu, kwanza ulichoweka ilibidi kiondolewe kabisa.Mtu mkongwe hawezi kuandika mada ya kijinga vile.Hii ya kurundika mada zote kwenye uzi mmoja, sometimes nahisi inatumika kufifisha mada wasizozipenda kwasababu wanazozijua wao
Bujibuji mama amekusikiaMama Samia usinisahau Bujibuji kwenye ufalme wako
MATAGA utawajua tu!Mimi naona sawa tu, kwanza ulichoweka ilibidi kiondolewe kabisa.Mtu mkongwe hawezi kuandika mada ya kijinga vile.
Pamoja na ubovu huo wa katiba bado haifuatwi.Katiba yetu ni mbovu hawezi kufanya maajabu yoyote
Bora mrundi angejuwa jirani yetuWewe ni Mrundi?