Maoni: Tuanzishe JF dating

Mrdash1

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,378
332
Itakuwa vyema kama wana JF tutaanzisha dating hapa jukwaani, itasaidia watu kuelewana zaidi, wenye bahati zao wanaweza kujipatia wachumba. Ni maoni tu!
 

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
90,864
105,870
Mbona hili jukwaa la MMU, PM, na hata chat ilivyokuwepo ndo kazi yake? Unataka nini zaidi ya hayo?
 

afrodenzi

Platinum Member
Nov 1, 2010
18,150
9,097
Mbona hili jukwaa la MMU, PM, na hata chat ilivyokuwepo ndo kazi yake? Unataka nini zaidi ya hayo?


nathani anataka kuwe na jukwaa la watu ambao ni single au divorce ...
ambapo hao wajieleze na kutuma thread zao hapo...
kuliko kuweka kwenye jukwaa la mahusiano,mapenzi na urafiki...
kwa sababu kwenye hilo jukwaa ni maoni mchanganyiko...
kwa kweli mi na dhani maoni mazuri tu.....
 

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,457
8,294
Mimi nakuomba tukutane pale........kwenye ugali wa muhogo uliza jinalangu!
 

Njowepo

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
9,676
2,189
Kuna jamaa yangu akasemaga unajua unakuta mtu yuko single na anatafuta mwenza ila hakunaga forum za watu wa aina iyo.
Ni idea nzuri kuwe na kasehemu kaa aina iyo
 

MONTESQUIEU

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
847
80
Ni vizuri but huko mtu awe na id mpya ,maana mtu anasoma vigongo vyako hapa hadi anataka tapika leo eti unataka date mh
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom