kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Serikali ibane matumizi kwa kuzipa kazi benki za NMB na CRDB kazi ya kukopesha na kudai madeni madeni ya wanafunzi. Benki zina utaalam zaidi wa kukopesha na kudai madeni kwa wanafunzi kuliko watu wa HESLB. Kinachotakiwa ni mabenki kupewa fedha na vigezo vya kukopa.
Uzuri wake:
1. Wanafunzi wengi na baadae watakaokuwa wafanyakazi wengi wao wana account kwenye mabenk hayo.
2. Mabenki yana matawi mbalimbali nchi nzima kulinganisha na HESLB ambayo iko Mwenge - Dar es Salaam tu.
3. Itapunguza usumbufu kwa wanafunzi na msongamano pale Mwenge.
4. Serikali itaepuka gharama za kuajiri wafanyakazi na wajumbe wa mfuko.
Uzuri wake:
1. Wanafunzi wengi na baadae watakaokuwa wafanyakazi wengi wao wana account kwenye mabenk hayo.
2. Mabenki yana matawi mbalimbali nchi nzima kulinganisha na HESLB ambayo iko Mwenge - Dar es Salaam tu.
3. Itapunguza usumbufu kwa wanafunzi na msongamano pale Mwenge.
4. Serikali itaepuka gharama za kuajiri wafanyakazi na wajumbe wa mfuko.