PMNBuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 967
- 154
JK hawezi kuhutubia Taifa. Nani atamsikiliza? Labda aanze na sentensi hii: Dodoso la sensa tumelibadilisha ghafla. Tumeweka kipengele cha dini. Lakini ajue huo utakuwa mwanzo tu wa vita vya kidini nchini. Kwa ujumla wake suala la dini ni dogo sana hapa. Watu wanagoma kuhesabiwa kwa kuchoka utawala uliopo uliojaa rushwa na dhuruma. Tumekosa dira kama Taifa, tumekosa uongozi wa nchi. Nchi imeendelea kutotawalika. Hii ni hatari sana kwa ustawi wa nchi.