Maoni na wito kuhusu tume ya bunge kuchunguza pesa za "mawasiliano"

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Hi wadau

Nina maoni, wito na mtazamo tofauti juu ya tume inayotakiwa kuchunguza na kuihauri serikali sakata la Pesa za "mawasiliano" lilioibuka katika wizara ya Nishati.

Katika sakata Hili mhuhusika na mtuhumiwa mkuu nai Jairo na wazara ya Nishati.

Nalipongeza bunge hasa wabunega wa upinzani na ndugu zitto kabwe kutoa hoja ya kuundwa kwa tume amabayo ikifanya kazi vizuri basi kuna matatizo yatarekebishwa na kuna makosa tunataegema hayatajirudia

Je Tume ya wabunge itafanya kazi vizuri?
Wasi wasi wangu na duku duku langu ni kuwa wakati kuna tatizo kubwa inaonekana wabunge na watu wengi tunaangalia sehemu tu ya tatizo. Yaani Jairo na wizaa ya Nishati. Ukweli hapa Tatizo ni serikali( Wizara) na wabunge

CAG kishasema kitu kilichfanyika ni cha kawaida na inawezekana kinfanyika kila wizara na hata wabunge wakiwa honest wanaweza kuwa mashahidi kuwa katika bunge hili kuna wizara zimewapa pesa za "mawasiliano" ya bejeti

Sasa Tatizo liko wapi?
  • Tatizo la kwanza ni kupoteza hela kuchunguza wizara moja kwa kitu amabcho kinafanyika kwenye wizara nyingi. Wigo na najukumu ya tume itakayoundwa yanatakiwa kwenda mbali zaidi ya wizara ya Nishati ..........
  • Tatizo lingine ni wabunge wenyewe ni wahusika na supects katika mchanganuo huu. kwa hiyo kitendo cha tume kuwa chini ya wabunge hakitatoa ukweli wote. Bunge na wabunge ni sehemu ya tatizo linalotakiwa kucngunzwa.
So kwa mtazamo wangu bunge na wabunge kama sehemu ya tatizo haiwezi kufanya uchunguzi sahihi na makini bila kuwa impartial

So Nini Kifanyike?


  • Naunga mkono hoja ya zitto ya kuundwa kwa tume lakini ni mapendekezo yangu tume hii iwe chini ya majaji wastaafuu na watu amabo wako nje ya mfumo wa bunge na serikali. Kwakufanya hivi bunge na wabunge watapata nafasi ya kutazmwa na kuepwa mapendekezo ya mabadiliko gani yanatakiwa kwa bunge na serikali kwa faida ya wananchi.
  • Uchunguzi wa tume huru iliydhishwa na bunge chini ya majaji wastaafu ulenge wizara zaidi ya moja na uchunguze na matumzi ya pesa za wizara mbali mbali zilizopoelekwa dodoma kipindi cha bajeti

Nadhani wabunge wenye nia njema na nchi hasa wa upizani hawatona kitendo cha tume kuundwa nje wa abunge kama kudhalilishw abali ni kitendo cha ushindi kwa wananchi wanaowawakilisha

Nawasilisha kwa mjadala
 
Hi wadau

Nina maoni, wito na mtazamo tofauti juu ya tume inayotakiwa kuchunguza na kuihauri serikali sakata la Pesa za "mawasiliano" lilioibuka katika wizara ya Nishati.

Katika sakata Hili mhuhusika na mtuhumiwa mkuu nai Jairo na wazara ya Nishati.

Nalipongeza bunge hasa wabunega wa upinzani na ndugu zitto kabwe kutoa hoja ya kuundwa kwa tume amabayo ikifanya kazi vizuri basi kuna matatizo yatarekebishwa na kuna makosa tunataegema hayatajirudia

Je Tume ya wabunge itafanya kazi vizuri?
Wasi wasi wangu na duku duku langu ni kuwa wakati kuna tatizo kubwa inaonekana wabunge na watu wengi tunaangalia sehemu tu ya tatizo. Yaani Jairo na wizaa ya Nishati. Ukweli hapa Tatizo ni serikali( Wizara) na wabunge

CAG kishasema kitu kilichfanyika ni cha kawaida na inawezekana kinfanyika kila wizara na hata wabunge wakiwa honest wanaweza kuwa mashahidi kuwa katika bunge hili kuna wizara zimewapa pesa za "mawasiliano" ya bejeti

Sasa Tatizo liko wapi?
  • Tatizo la kwanza ni kupoteza hela kuchunguza wizara moja kwa kitu amabcho kinafanyika kwenye wizara nyingi. Wigo na najukumu ya tume itakayoundwa yanatakiwa kwenda mbali zaidi ya wizara ya Nishati ..........
  • Tatizo lingine ni wabunge wenyewe ni wahusika na supects katika mchanganuo huu. kwa hiyo kitendo cha tume kuwa chini ya wabunge hakitatoa ukweli wote. Bunge na wabunge ni sehemu ya tatizo linalotakiwa kucngunzwa.
So kwa mtazamo wangu bunge na wabunge kama sehemu ya tatizo haiwezi kufanya uchunguzi sahihi na makini bila kuwa impartial

So Nini Kifanyike?


  • Naunga mkono hoja ya zitto ya kuundwa kwa tume lakini ni mapendekezo yangu tume hii iwe chini ya majaji wastaafuu na watu amabo wako nje ya mfumo wa bunge na serikali. Kwakufanya hivi bunge na wabunge watapata nafasi ya kutazmwa na kuepwa mapendekezo ya mabadiliko gani yanatakiwa kwa bunge na serikali kwa faida ya wananchi.
  • Uchunguzi wa tume huru iliydhishwa na bunge chini ya majaji wastaafu ulenge wizara zaidi ya moja na uchunguze na matumzi ya pesa za wizara mbali mbali zilizopoelekwa dodoma kipindi cha bajeti

Nadhani wabunge wenye nia njema na nchi hasa wa upizani hawatona kitendo cha tume kuundwa nje wa abunge kama kudhalilishw abali ni kitendo cha ushindi kwa wananchi wanaowawakilisha

Nawasilisha kwa mjadala


Nawapendekeza hawa katika hoja yako:

1: Jaji Warioba(aliyekuwa wazar Mkuu)
2: Jaji Ramadhani mstaafu wa juzi juzi
 


Nawapendekeza hawa katika hoja yako:

1: Jaji Warioba(aliyekuwa wazar Mkuu)
2: Jaji Ramadhani mstaafu wa juzi juzi

Hata mm nakubali kabisa. je hawa waheshimiwa wako tayari kukubali au wataona wamshushiwa hadhi yao ya uheshimiwa . Sijui Zitto Muanzisha hoja ile binafis ana weza uwa na mtazamo gani?

Nimefutilia na kugoogle lile sakata la malipo ya wabunge kule UK jinsi walivyolishughulikia . Hakuna sehemu amabyo kamati ya wabunge ilikuja na mapendekezo nini kifanyike. Ilikuwa ni kamati huru nje ya mfumo wa bunge na serikali
 
Tatizo sidhani kama kuna mbunge yeyote awe wa CCM au upinzani anaweza kukubaliana na hiyo hoja. Wengine wanaweza kuona kama ni bunge kudharauliwa.....
 
Mi kwa upande wangu sioni hata hiyo kazi wanayokwenda kuifanya kwa kutumia hiyo tume kwa sababu kila kitu kipo wazi wanachopaswa ni kuchukua maamuzi tu hapa
 
Back
Top Bottom