Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Hi wadau
Nina maoni, wito na mtazamo tofauti juu ya tume inayotakiwa kuchunguza na kuihauri serikali sakata la Pesa za "mawasiliano" lilioibuka katika wizara ya Nishati.
Katika sakata Hili mhuhusika na mtuhumiwa mkuu nai Jairo na wazara ya Nishati.
Nalipongeza bunge hasa wabunega wa upinzani na ndugu zitto kabwe kutoa hoja ya kuundwa kwa tume amabayo ikifanya kazi vizuri basi kuna matatizo yatarekebishwa na kuna makosa tunataegema hayatajirudia
Je Tume ya wabunge itafanya kazi vizuri?
Wasi wasi wangu na duku duku langu ni kuwa wakati kuna tatizo kubwa inaonekana wabunge na watu wengi tunaangalia sehemu tu ya tatizo. Yaani Jairo na wizaa ya Nishati. Ukweli hapa Tatizo ni serikali( Wizara) na wabunge
CAG kishasema kitu kilichfanyika ni cha kawaida na inawezekana kinfanyika kila wizara na hata wabunge wakiwa honest wanaweza kuwa mashahidi kuwa katika bunge hili kuna wizara zimewapa pesa za "mawasiliano" ya bejeti
Sasa Tatizo liko wapi?
So Nini Kifanyike?
Nadhani wabunge wenye nia njema na nchi hasa wa upizani hawatona kitendo cha tume kuundwa nje wa abunge kama kudhalilishw abali ni kitendo cha ushindi kwa wananchi wanaowawakilisha
Nawasilisha kwa mjadala
Nina maoni, wito na mtazamo tofauti juu ya tume inayotakiwa kuchunguza na kuihauri serikali sakata la Pesa za "mawasiliano" lilioibuka katika wizara ya Nishati.
Katika sakata Hili mhuhusika na mtuhumiwa mkuu nai Jairo na wazara ya Nishati.
Nalipongeza bunge hasa wabunega wa upinzani na ndugu zitto kabwe kutoa hoja ya kuundwa kwa tume amabayo ikifanya kazi vizuri basi kuna matatizo yatarekebishwa na kuna makosa tunataegema hayatajirudia
Je Tume ya wabunge itafanya kazi vizuri?
Wasi wasi wangu na duku duku langu ni kuwa wakati kuna tatizo kubwa inaonekana wabunge na watu wengi tunaangalia sehemu tu ya tatizo. Yaani Jairo na wizaa ya Nishati. Ukweli hapa Tatizo ni serikali( Wizara) na wabunge
CAG kishasema kitu kilichfanyika ni cha kawaida na inawezekana kinfanyika kila wizara na hata wabunge wakiwa honest wanaweza kuwa mashahidi kuwa katika bunge hili kuna wizara zimewapa pesa za "mawasiliano" ya bejeti
Sasa Tatizo liko wapi?
- Tatizo la kwanza ni kupoteza hela kuchunguza wizara moja kwa kitu amabcho kinafanyika kwenye wizara nyingi. Wigo na najukumu ya tume itakayoundwa yanatakiwa kwenda mbali zaidi ya wizara ya Nishati ..........
- Tatizo lingine ni wabunge wenyewe ni wahusika na supects katika mchanganuo huu. kwa hiyo kitendo cha tume kuwa chini ya wabunge hakitatoa ukweli wote. Bunge na wabunge ni sehemu ya tatizo linalotakiwa kucngunzwa.
So Nini Kifanyike?
- Naunga mkono hoja ya zitto ya kuundwa kwa tume lakini ni mapendekezo yangu tume hii iwe chini ya majaji wastaafuu na watu amabo wako nje ya mfumo wa bunge na serikali. Kwakufanya hivi bunge na wabunge watapata nafasi ya kutazmwa na kuepwa mapendekezo ya mabadiliko gani yanatakiwa kwa bunge na serikali kwa faida ya wananchi.
- Uchunguzi wa tume huru iliydhishwa na bunge chini ya majaji wastaafu ulenge wizara zaidi ya moja na uchunguze na matumzi ya pesa za wizara mbali mbali zilizopoelekwa dodoma kipindi cha bajeti
Nadhani wabunge wenye nia njema na nchi hasa wa upizani hawatona kitendo cha tume kuundwa nje wa abunge kama kudhalilishw abali ni kitendo cha ushindi kwa wananchi wanaowawakilisha
Nawasilisha kwa mjadala