Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,036
- 3,929
Baada ya jana Lawrence Masha kutangaza kujiondoa CHADEMA kwa sababu alizozisema kuwa anaona CHADEMA hawana nia ya kuchukua dola.
Rejea hapa; Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Kumekuwa na maoni mbalimbali ya watu tofauti tofauti kutoka sehemu mbalimbali. Haya hapa maoni ya wanasiasa kutokea CHADEMA
Rejea hapa; Lawrence Masha ajivua uanachama wa CHADEMA. Adai hawana nia ya kushika dola!
Kumekuwa na maoni mbalimbali ya watu tofauti tofauti kutoka sehemu mbalimbali. Haya hapa maoni ya wanasiasa kutokea CHADEMA