MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,556
- 29,806
Unafurahisha Wapuuzi wewe!CHADEMA ni chama cha watu siyo kama chama kile ambacho mmebaki na minung'guniko mioyoni huku mkiwa kwenye maumivu makali kwa katiba yenu mbovu
Chama cha watu!
watu gani
Mbowe na gengelake labda
hapo ulipo hujui hata nini Agenda ya Chama
malengo ya chama
chama kina simamia Sera ipi!!
Mipango ya chama
utaratibu wa chama ni upi hujui!!
Ruzuku ya chama hujui wapi inaenda!!
Unaropoka Cdm nichama cha watu!!
labda misukule