Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Kwani Maria Nyerere anakwenda kwa hiari yake? Anatekwa na UVCCM na akijifanya mbishi anaweza kubambikiwa kesi ya ugaidi!Wakuu nawasalimu kwa jina la muumba wetu sote.
Nimejaribu kuwaza tu kuhusu umri wa mama Maria Nyerere na haya matukio ya kiserikali tukizingatia na hali ya hewa ya huu ulimwengu kwa sasa naona ingekuwa vema tu kukampumzisha maana ni hafla ashahudhuria nyingi mno, kwa sasa anastahili kutulia kijijini Butiama na kulinda afya yake huku akimshukuru muumba wake kwa umri maana nao si kidogo.
Tunaotaka ushiriki wake au kumwona tumfuate nyumbani kwake.
Note: "Usirithi adui wa mtu, tengeneza adui yako mwenyewe" - JKikwete.