Keynes
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 533
- 89
Ni kweli yawezakua hawa mafisadi walifanya uchakachuaji wa kura za uraisi.
Lakini hata hivyo kulingana na vyama vya upinzani kutokua na umoja na nguvu ya pamoja hawakuweza kufika hadi vijijini kuelemisha wapiga kura sawa sawa. Hata Dr Slaa nakumbuka alikiri siku akihojiwa na waandishi wa habari wakati alipohitimisha kampeni zake. Pia ukiangalia majimbo mengi waliyoshinda vyama vya upinzani ni yale yaliyo mijini kwa sababu waliweza kufika na kuelemisha wapiga kura vizuri.
Sasa basi hata kama kura za uraisi zisingechakachuliwa ni dhahiri bado JK angeshinda kutokana na chama chake kua na mtandao mpaka vijijini.
MAONI YANGU ni kwamba Dr Slaa ni mpambanaji mzuri na ameongeza nguvu mpya katika siasa za Tanzania lakini kwa sasa tunaomba akubali matokeo na ahudhurie sherehe zote za uapishaji ili vijana wake waweze kwenda kufanya kazi tuliyowatuma kwa amani.
Bila Raisi kuapishwa hakuna serikali,...na kama hakuna serikali bunge pia halipo.
TANZANIA NI MOJA HAKUNA UKABILA WALA UDINI WALA UCHAMA....ila kuna ufisadi.
KILA LA KHERI MH SLAA 2015.
Lakini hata hivyo kulingana na vyama vya upinzani kutokua na umoja na nguvu ya pamoja hawakuweza kufika hadi vijijini kuelemisha wapiga kura sawa sawa. Hata Dr Slaa nakumbuka alikiri siku akihojiwa na waandishi wa habari wakati alipohitimisha kampeni zake. Pia ukiangalia majimbo mengi waliyoshinda vyama vya upinzani ni yale yaliyo mijini kwa sababu waliweza kufika na kuelemisha wapiga kura vizuri.
Sasa basi hata kama kura za uraisi zisingechakachuliwa ni dhahiri bado JK angeshinda kutokana na chama chake kua na mtandao mpaka vijijini.
MAONI YANGU ni kwamba Dr Slaa ni mpambanaji mzuri na ameongeza nguvu mpya katika siasa za Tanzania lakini kwa sasa tunaomba akubali matokeo na ahudhurie sherehe zote za uapishaji ili vijana wake waweze kwenda kufanya kazi tuliyowatuma kwa amani.
Bila Raisi kuapishwa hakuna serikali,...na kama hakuna serikali bunge pia halipo.
TANZANIA NI MOJA HAKUNA UKABILA WALA UDINI WALA UCHAMA....ila kuna ufisadi.
KILA LA KHERI MH SLAA 2015.