Maoni kwa Rais: Miundombinu ya Tasinia ya Fasiri Tanzania inahitaji wataalamu na vifaa

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
4,582
2,783
WANAJF,

Nimekuwa naangali haliinayoendelea katika ziara ya Waziri Mkuu wa India, hapa Tanzania. Nimegundua tumekosa wafasiri wa Lugha. Yaani baada ya Rais kuongea kwa Kiswahili, anasimama mama mwingine kutoa hotuba nyingine ya Kiingereza. Hii inapoteza muda na kupunguza dhamira ya hotuba ya rais. Rais anatakiwa hotuba yake imfikie moja kwa moja mgeni wake kwa Kutumia Mfasiri si hivyo.

Tunahitaji watalaam na vifaa vya kufanyia hii tasinia. Tukitaka tubadilike lazima tuwekeze katika eneo kubwa zaidi na kutumia watalaam wetu zaidi.

Nimetembelea baadhi ya nchi ambazo hata idara zinakuwa na watalaam wa lugha karibu zetu. hii huongeza wigo wa ajira hata utalii.

Kwa maana moja au nyingine. Idara hizi hutumia kila kinochowezekana kufanya tours za kuwatembeza hawa watu na kuwapa utajiri wa taifa.
 
Nimeona inapoteza muda sana. Maanakuna uwezekano wa kuwa na watu watakao ajiriwa na kuwa trained kwa kazi hizo tu kwenye taasisi zote zenye umuhimu huo.
 
Sasa kulikua na umuhimu gani wa kutafasiri kwa kingereza? Si tuliambiwa jamaa ni PhD holder au ni ya kiswahili
 
Shida si PhD hata mataifa mengine wanaangalia utamaduni wao. Hapa ni dhana na kutumia kiswahili wakati bado hatuna watujajiandaa kuingia katika level hiyo.
Sasa kulikua na umuhimu gani wa kutafasiri kwa kingereza? Si tuliambiwa jamaa ni PhD holder au ni ya kiswahili
 
mwenyewe nimeliona hilo, hapo panahitaji kufanyiwa maboresho.
Kwa sababu tumeamua kutumia kiswahili, ni vizuri kwenye kumbi kama hizo kukawa kunafungwa system kama ile ambayo ilitumika bungeni alipohutubia rais wa msumbiji. kila mmoja akawa anatasfiriwa kwa lugha yake independently though headphone. Kila kitu kina mwanzo. na sioni kama ni gharama
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom