Mm nashauri coz ambazo hazina soko ziachwe tu but waache kuwapa mikopo wanafunzi wanao opt hizo course
Waongeze kutoa mikopo kwa wanafunzi wanaosoma elimu ya kati hasa coz za ufundi kutoka veta,DIT and all technical collage
Unaweza ukashangaa watakao maliza form six this year 2022 wataomba kwenda kusoma course za elimu,fine arts,community dvpt and etc