Huenda maoni yangu yakaonekana ya ajabu;
Tafti zinaonesha mtoto mchanga akinyonyeshwa ipasavyo maziwa ya mama kwa angalau miezi sita, mwili na ubongo wa mtoto unakuwa katika hali salama na afya zaidi kuliko mtoto asonyonyeshwa!
Ninaposema kunyonya, ninamaanisha mtoto akamate ziwa yeye mwenyewe alinyonyeeeeh hadi aliteme mwenyewe!
Ninaposema kunyonya, sina maana ya mama amkamulie maziwa kwenye chupa HAPANA!
Ninaposema kunyonya, namaanisha ile contact ya mtoto kwa mama, maziwa yanatakiwa kutoka kwenye titi direct hadi kwenye kinywa cha mtoto yakiwa na joto lilelike, na ubora uleule!
Nitaweka mfano ili muelewe; Mechanism ya maziwa, haina tofauti sana na mechanism ya manii (sperm), Tendo la kujamiiana face to face ndiyo huzalisha kitu salama zaidi kuliko ile ya kumimina sperm kwenye chupa!
Mtoto asiyenyonya maziwa ya mama kinga ya afya yake huwa dhaifu ukilinganisha na anaenyonyeshwa.
Maziwa ya ng'ombe pia yanatajwa kuchangia watoto wasiokuwa na nidham kutokana na watoto hao kuaksi tabia za ng'ombe ikiwemo ukahaba na ukorofi
Saikolojia inachimba zaidi na kugundua watoto wasonyonya, baadhi ya mishipa kwenye ubongo huwa narrow; jambo ambalo hupelekea yafuatayo;
Tuwanyonyeshe watoto wetu kulikomboa taifa dhidi ushoga na ujambazi!!
Tafti zinaonesha mtoto mchanga akinyonyeshwa ipasavyo maziwa ya mama kwa angalau miezi sita, mwili na ubongo wa mtoto unakuwa katika hali salama na afya zaidi kuliko mtoto asonyonyeshwa!
Ninaposema kunyonya, ninamaanisha mtoto akamate ziwa yeye mwenyewe alinyonyeeeeh hadi aliteme mwenyewe!
Ninaposema kunyonya, sina maana ya mama amkamulie maziwa kwenye chupa HAPANA!
Ninaposema kunyonya, namaanisha ile contact ya mtoto kwa mama, maziwa yanatakiwa kutoka kwenye titi direct hadi kwenye kinywa cha mtoto yakiwa na joto lilelike, na ubora uleule!
Nitaweka mfano ili muelewe; Mechanism ya maziwa, haina tofauti sana na mechanism ya manii (sperm), Tendo la kujamiiana face to face ndiyo huzalisha kitu salama zaidi kuliko ile ya kumimina sperm kwenye chupa!
Mtoto asiyenyonya maziwa ya mama kinga ya afya yake huwa dhaifu ukilinganisha na anaenyonyeshwa.
Maziwa ya ng'ombe pia yanatajwa kuchangia watoto wasiokuwa na nidham kutokana na watoto hao kuaksi tabia za ng'ombe ikiwemo ukahaba na ukorofi
Saikolojia inachimba zaidi na kugundua watoto wasonyonya, baadhi ya mishipa kwenye ubongo huwa narrow; jambo ambalo hupelekea yafuatayo;
- Mtoto akikuwa anakuwa hana uvumilivu (short tampered emotional)
- mtoto anakuwa hana uvumilivu wa shida/changamoto (tolerance)
- Tabia ya kujikomba au kujipendekeza inakuwa kubwa sana tofauti na watoto wanaonyonya
- Hawahudhunishwi na mambo ya kikatili
- Hawana aibu
- wanapenda visasi n.k
Tuwanyonyeshe watoto wetu kulikomboa taifa dhidi ushoga na ujambazi!!