Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Endelea tu maana ni haki yakoSina muda huo Mchafu ila nina muda tu wa Kumpigia Kampeni Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM Dkt. Magufuli ashinde na aweze Kuongoza tena.
Endelea tu maana ni haki yakoSina muda huo Mchafu ila nina muda tu wa Kumpigia Kampeni Rais na Mwenyekiti wangu wa CCM Dkt. Magufuli ashinde na aweze Kuongoza tena.
Uchumi wa kati wa kiwango cha chiniKwani ninapokula Ugali wangu na Maharage unakuwa umeandikwa CCM? Na ni hizi 'Akili' mbovu za Wapinzani ndiyo maana CCM inawashinda 24/7.
kina malaga umlia pesa kwa kumdanganya anakubalikaMkurugenzi wa Twaweza
Ndiyo maaana wanajiona kama miungu wadogo hapa nchinikina malaga umlia pesa kwa kumdanganya anakubalika
siku mfumo ukimtupa ndio atakuja waelewa watz kwamba upendwa pochiNdiyo maaana wanajiona kama miungu wadogo hapa nchini
Kwamba Serikali kupata zaidi ya kura 3m itakuwa bahati ni ubashiri wa ndoto za mchana.Utafiti wako huu kuwa Watu wameichoka CCM uliufanya wapi na lini Mkuu? Na je, hao hao Watu wako wamekuhakikishia wanawapenda Upinzani?
Uchambuzi wako ni sahihi kabisa. Wafuasi wa CHADEMA humu wanasahau kuna kundi la kutosha la wanasiasa wenye nguvu waliokihama chama na ni wagombea wa vyama vya upinzani. Hao wanayajua mambo mengi ya CHADEMA ambayo naamini watayatumia kama mtaji wao wa kisiasa. Hivyo basi, CHADEMA itabomolewa na wagombea wa vyama vya upinzanI na siyo wa CCM.Ndivyo ilivyopaswa kuwa lakini tatizo ni wapinzani wa Tanzania .
Tuna wapinzani wa ajabu sana.
Upinzani ndani ya CCM ndio upinzani halisi nje ya CCM ni Vikampi vya watu binafsi.
CCM ya Kikwete ilishindwa na CCM ya iliyokuwa imebeba hasira za Lowasa kukatwa.
Halikadhalika 2025 CCM itakayoshinda ni ile itakayotoka kwa Mtu atakayekuja na hoja za kufanya tofauti na CCM ya Magfl .
Upinzani upo ndani ya CCM.
Leo hii wapinzani kama Chadema wangeruhusu Mageuzi ya ndani na chaguzi huru ndani ya Chama Bila shaka Mwenyekiti angekua ni ama Zito Kabwe au Komu au Heche au Halima. Chama kingekua na mtizamo mpya na nguvu mpya. Leo hii Chadema inaongozwa na MTU aliyeipoteza njia mwaka 2010,2015, 2020 sasa.
Wapiga kura wakimuona Mbowe jukwaani wanapoteza imani ya kushinda. Miaka mitano Mbowe amekua ni MTU wa kulilia Uenyekiti tu huku Chaguzi zikiwa zinavurugwa bila tamko lolote. Sasa kamanda anabaki kwenye kiti na ujasiri wa kujificha nyuma ya shujaa Tundu Lisu.
Kama Kikwete aliwapa watanzania maziwa na nyama na samaki lakini walimkataa kwa kumwita dhaifu asiye na maamuzi na walitamani aondoke madarakani kwa ushawishi wa Mbowe na Dr.Slaa huku wakiamini kuwa nchi inapaswa kuendeshwa kidikteta basi watanzania Chini ya Upinzani wa Mbowe hawawezi kamwe kuiondoa CCM madarakani.
Kwanza Sheria za Uchaguzi zinafanana sana na zile za CCM.
Yani Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi wana nguvu kuliko wananchi wote milioni 28+ wanaopiga kura.
CCM wajumbe wa wale wanaopitisha majina Dodoma wapo wachache lakini wana nguvu kubwa kuliko wapiga kura wote ndani na nje ya Chama.
Wapinzani hawana Sera zinazowavutia wananchi zaidi ya kumshambulia Magufuli binafsi. Wakati huo huo wananchi kwa uelewa wao ama mdogo au mkubwa wanazungumza Lugha moja kuhusu Magufuli kuwa ameleta maendeleo makubwa . Yani hata mtu ambaye kijijini kwake hakuna maji ,barabara na dawa hospitalini huku biashara zikiwa zimedoda lakini ana matumaini kuwa Magufuli anabana kwa Muda tu lakini akikamilisha Kujenga miundo Mbinu hali ya maisha itapaa na kuwa nzuri kuliko Ulaya na Uarabuni na tutatoa misaada kwa Wazungu badala ya kuomba misaada. Imani hiyo ipo mpaka kwa wasomi , Wachungaji na mashekhe na wasanii wa Muziki mpaka watoto wadogo ,wazee na wafanyakazi pia wanamatumaini kuwa Hali ni ngumu kwa muda tu. Mpaka kule kusini kwenye wakulima wa Korosho, wote wana matumaini na JPM na wapo tayari kwenda naye kwa matumaini kuwa naye pia ni maskini mwenzao kwa sababu hasafiri kwenda kwa mabeberu kuomba misaada.
Wapinzani wengi hawajui maisha ya vijijini yalivyo kwa uhalisia matokeo yake wanaongelea mambo yasiyo na tija kwa mamilioni ya watanzania huku wakijikita kwenye Hotuba za kumkejeli Magufuli muda wote.
ccm ya akina mbasha wa mitama, hahahahahahaCCM ni mfu anayejikongoja!
Hao waliogombea washafeli tayari, leta wengine. Maana hao hata huko waliishia kura 2.Uchambuzi wako ni sahihi kabisa. Wafuasi wa CHADEMA humu wanasahau kuna kundi la kutosha la wanasiasa wenye nguvu waliokihama chama na ni wagombea wa vyama vya upinzani. Hao wanayajua mambo mengi ya CHADEMA ambayo naamini watayatumia kama mtaji wao wa kisiasa. Hivyo basi, CHADEMA itabomolewa na wagombea wa vyama vya upinzanI na siyo wa CCM.
Hujanielewa. Ni wale waliohamia vyama vongine vya siasa CUF, ACT, NCCR, nk. Hata waliohamia CCM wanaweza kutumikaHao waliogombea washafeli tayari, leta wengine. Maana hao hata huko waliishia kura 2.
Ndugu yangu ogopa sana itikafi na mapenzi ya kisiasa..Nakitazama hali ilivyo ngumu mtaani, uchumi umekua mgumu kuna mama wanashinda barabarani na nyanya zao na mchicha kutwa nzima hawauzi wanarudisha nyumbani jioni, frame kibao za biashara zimefungwa maeneo mengi, Wafanya kazi wa umma wanalia maslahi duni, mikopo elimu ya juu kizungumkuti mitupu kuna vijana wanalia hawana ada.
Lawama zote ni kwa serikali ya CCM ambayo iliahidi maisha bora kwa watanzania wote na matokeo yake watu wamejikuta katika hali ngumu ya maisha. Wananchi hawa wapo tayari kwa mabadiliko ya kiutawala, sasa kumbe shida siyo Magufuli ni CCM yake.
Aliyofanya JPM tunamshukuru sana anaweza kupumzika akamwachia mwingine kijiti aendelee. Aliyofanya ni makubwa sana na ni fahari kwa nchi historia yake itakumbukwa. Ni mwanzo mzuri kwa mrithi wake.
Wapinzani wakiungana wote wenye nguvu CCM ipo pekee yake hata kura milion 3 hakiwezi kupata. Watu wamechoka wanataka kuona changes za kweli zenye kuleta neema kwa nchi yetu. Wakiungana wapinzani na wanajiandaa bila uoga kusimamia ushindi wao wa haki basi CCM chalii. Tuliona KANU ya Kenya ilivyodondoshwa collaboration ya vyama vya siasa chini ya Mwai Kibaki
Ndugu yangu ogopa sana itikafi na mapenzi ya kisiasa..
...
Kikubwa ktk siasa ni matumaini..
...
Aidha ni ukweli ulio wazi wazi kwamba leo HII wanaccm ni wengi zaidi kuliko UPINZANI.
...
Dhiki na mateso wanayopitia Wananchi sio kipimo pekee