Uchaguzi 2020 Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Pascal Mayalla "Kwa maoni yangu, kwenye kambi nzima ya upinzani Tanzania, tuna watu wawili tu ndio wenye uwezo, wa ability na capabilities za kumkabili JPM na aka feel the heat ya uchaguzi. Hawa ni Zitto Zuberi Kabwe na Tundu Lissu." Mwisho wa kunukuu.

Ni juu yao kufanyia kazi, maana ndio ukweli wenyewe.
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!

Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali, "Kwa Mliomsikia Tundu Lissu Kwenye Hard Talk, Jee Unadhani Atarejea Nchini?. Mimi kwa upande wangu, I seriously doubt kama atarejea, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa mwenye uthubutu na ushujaa mkubwa kuliko hata ushujaa wa Nelson Mandela!.

Nimesema hivyo kwa sababu nimemsiliza kwa makini Tundu Lissu, him being a Lawyer, kwa yale aliyoyasema, kwa tuhuma alizoshusha bila ushahidi, I seriously doubt if Tundu Lissu will ever return home during this era, na ikitokea kweli akarejea, then Tundu Lissu atakuwa ni shujaa kuliko Nelson Mandela.
Hongera zake.

Paskali
Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!


Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
Wewe Ngosha unautani na CCM ama ..... Nafikiri hata ile nia kule awe ilikuwa ni sehemu ya utani wa Kisukuma. Kwa wanaCCM, Lissu ni NIGHTMARE .....!!
 
Pascal Mayalla "Kwa maoni yangu, kwenye kambi nzima ya upinzani Tanzania, tuna watu wawili tu ndio wenye uwezo, wa ability na capabilities za kumkabili JPM na aka feel the heat ya uchaguzi. Hawa ni Zitto Zuberi Kabwe na Tundu Lissu." Mwisho wa kunukuu.

Ni juu yao kufanyia kazi, maana ndio ukweli wenyewe.
Pascall umekuja kwa ID nyingine.
 
Wanabodi, mimi nilidhani Lissu hatarejea
Kwa mliomsikia Tundu Lissu kwenye Hard Talk, unadhani atarejea nchini? Mimi sina hakika na akirejea, atakuwa ni shujaa kuliko hata Nelson Mandela!


Final Update
Tundu Lissu leo amerejea nyumbani Tanzania, hivyo naomba kuthibitisha humu kuwa Tundu Lissu ni Jasiri na Shujaa Kuliko Nelson Mandela.

Hivyo sasa, kufuatia kurejea huku, ule ushauri wangu nilioutoa kwake kabla hajashambuliwa, sasa utekelezwe.

Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha Uwezo Zaidi ya Magufuli!

Shujaa Kamanda Tundu Lissu, karibu nyumbani.
Mungu ni mwema amekutendea muujiza, hivyo endelea kutimiza ndoto yako, Mungu aliyekuponya ni Mungu mwenye uwezo, anaweza kabisa kulifanya "Jiwe Walilolikataa Waashi, Likafanywa Jiwe Kuu la Pembeni"

I wish him all the best.
Paskali
Kazi anayo,ngoja tuone..
 
Haaaa, sio kwa mwaka huu 2020. Labda mwaka huu anajinadi kwa matayarisho ya uchaguzi wa mwaka 2025. Kwa mwaka huu Tundu Lissu - sisimizi, John Pombe Magufuli - Tembo.
 
Muda mrefu sana CCM wamekuwa wakijiaminisha na dhana kwamba hata wakishindwa hawawezi kupisha upinzani kupitia sanduku la kura.

Tafsiri ya maneno haya ni moja tu, kwamba upinzani kweli huwa unashinda. Lakini kutokana na apizo hili CCM kwa kutumia vyombo vya dola huwa wanakatalia madarakani kwa nguvu na jeuri.

Kuna ushahidi mzuri wa jambo hili huko Zanzibar. Si mara moja, si mara mbili CCM imeshindwa lakini wanafuta uchaguzi na kujifanya kulikuwa na dosari. Lakini hata Katibu Mkuu wa CCM bara alinukuliwa mwaka jana akisema chama tawala hutumia dola kubaki madarakani.

Kwa dhana na tabia iliyojengeka ndani ya wana CCM kwa miaka mingi sidhani kama watakuja kupisha haki ichukue nafasi yake kwa njia ya amani.

Mwaka 1995 Mrema alishinda kura za Urais Dar es Salaam. Kuona hivyo, tume ikafuta matokeo ili uchaguzi urudiwe. Lengo huwa ni kuwakatisha tamaa wapiga kura wa upinzani ili wasijitokeze kwenye marudio.

Mwaka 2010 Dr Slaa alikuwa na kura nyingi zaidi ya Kikwete. Tume wakazichezea, CCM ikashinda, watanzania wakanyamaza yakaisha.

Mwaka 2015 Lowassa alimpiga Magufuli kwa kura zaidi ya milioni 3. Tume wakachekecha. Wakabadili mpaka zikapinduka na kuonekana Magufuli kashinda. Watu walikuwa tayari kukiwasha nchi nzima kudai haki itendeke. Lowassa akaogopa kujitokeza na kukiwasha kiberiti nchi iwake moto.

Mwaka 2020 Magufuli atashindwa vibaya na TL. Utafiti wa ndani unaonyesha. Utafiti wa nje pia umeonyesha hivyo. Na bila shaka baadhi ya Wana CCM wamenusa harufu hiyo. Hofu kuu imetanda. Wamepanic, na wako tayari kwa lolote ( hata kutuua Sisi sote) ili wubaki madarakani milele. Watajaribu kumtangaza Magufuli kwa nguvu kama kawaida yao.

Tofauti na miaka ya nyuma, safari hii watanzania hawatakaa majumbani kimya. Watasikia amri ya kudai haki kwa njia wasizozipenda CCM. Njia za makabiliano ya nguvu, jasho, damu, moto, na hasara kubwa kwa miundombinu na amani ya nchi kwa ujumla. Hasira za kuvumilia miaka mingi, na mateso tiliyopata chini ya Magufuli vitatia ganzi akili na miili yetu dhidi ya mabomu, risasi, na Magari ya vifaru kama ni lazima.

Kwa bahati nzuri kizazi cha kufanya hivyo kipo, na ni wengi kuliko kizazi cha wale waoga wa enzi za kusikia mlio wa bunduki wanaenda kulala chini ya uvungu. TUMECHOKA KUTAWALIWA KWA MABAVU.

You live once. You die once. Ready for action.
 
Kumlinganisha Magufuli na TL ni kumdhalilisha TL na kumshusha sana.

Magufuli siyo presidential kabisa. Si kwa aura, intellect au uwezo wa kushawishi akili kubwa.

Magufuli ana sifa zote za dikteta. Maana udikteta nayo ni aina ya uongozi. Huhitaji kuwa na akili kubwa au uwezo wa uongozi kuwa dikteta. Unahitaji kujizungushia kundi kubwa la wapambe wajinga, wezi, waongo, na wenye uwezo mkubwa wa kukusifia ili kukufanya usijione ulivyo empty kichwani.

Kwa sifa hizo ni kweli TL hafui dafu kwa Magufuli. Maana miaka mtano iliyopita watanzania wameelewa maana ya kuwa chini ya Rais mwenye kuongoza kwa mihemuko ya kichwa bila kuushirikisha moyo.

Hakika watanzania hawwtasahau!
 
Kama kawaida yangu, kwenye kila mijadala yenye kuhusisha maoni ya kisiasa, mimi hupenda kuanza kwa declaration of interest kuwa mimi sina chama, sina kambi na sina upande, kwangu ni maslahi ya taifa mbele.
We Mayalla july 2020 tarehe ya bandiko lako ndio usiku ukigombea kura za maoni ukaoata kura moja. Tar kama hii ndio ulibandika bandiko lako😅😅
 
Kumlinganisha Magufuli na TL ni kumdhalilisha TL na kumshusha sana.

Magufuli siyo presidential kabisa. Si kwa aura, intellect au uwezo wa kushawishi akili kubwa.

Magufuli ana sifa zote za dikteta. Maana udikteta nayo ni aina ya uongozi. Huhitaji kuwa na akili kubwa au uwezo wa uongozi kuwa dikteta. Unahitaji kujizungushia kundi kubwa la wapambe wajinga, wezi, waongo, na wenye uwezo mkubwa wa kukusifia ili kukufanya usijione ulivyo empty kichwani.

Kwa sifa hizo ni kweli TL hafui dafu kwa Magufuli. Maana miaka mtano iliyopita watanzania wameelewa maana ya kuwa chini ya Rais mwenye kuongoza kwa mihemuko ya kichwa bila kuushirikisha moyo.

Hakika watanzania hawwtasahau!
Naunga mkono hoja. Lissu yuko Level ya mita 1000 mbele
 
Leo hutapata tusi wala kebehi hata moja kutoka kwa wana Ufipa, ungelipata kichambo cha nguvu iwapo kama ungemnanga Tundu,hizo ngonjera ndio wanataka wazisikie wana ufipa
 
Kwa upinzania no kweli wanachagua watu lakini kwa CCM wengi watampigia hata mbuzi maana no maslahi to pale kwa wengi. Msishangae wanamtisha kumuua Lissu had leo sio kwa kupenda nchi ni michongo yao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom