Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Wana Jf tukumbuke PM majibu yake kwa mbunge wa ilemela kuhusu DC wao kutumia u-DC kwa maslahi ya chama(ccm)wakati analipwa kwa kodi za wananchi,je ww unashauri nn hapa jamvini ili kujenga taifa letu-mm sioni umuhmu wa dc+rc-wakurugenzi ndo watendaji wakuu japo wasiteuliwe bali zitangazwe zabuni,nawasilisha kwenu jf