Anonymous Caller
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 480
- 570
Huyu mzee ametoka kuzika ndugu zake wawili wa damu ndani ya mda mfupi.
Anapitia nyakati ngumu mno pengne kuliko mpinzani yeyote ndani ya nchi hii.
Anakabiliwa na kesi lukuki, uchumi wake binafsi umeporomoka, usalama wake u shakani.nk
Ana miaka 60.
endapo mwelekeo utakuwa ni huu sijui tu.
Kwa kuwa Mapambano ni popote.
ni heri mbowe atafute hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa ng'ambo kama lema na lisu walivyofanya.
Ndio, faida ni nyingi kwny hili kuliko changamoto zake.
Usalama wake ni sababu ya kwanza.vilevile anahitaji mapumuziko ya kimwili na mind.
Tatu, kuamua kwenda kuishi ng'ambo kutafikisha message kwa jumuiya kimataifa juu ya changamoto zinazoisibu opposition.
Lisu na lema wote ni political refugees.
kuishi kwao uhamishon hakumaanish kwamba bado tishio dhidi maisha yao linaendelea,
bali ni ku-convey ujumbe kwa jumuiya ya kimataifa iweke jicho lake kwny siasa za ndani
ili pawe na fair political ground.
Siasa ataendeshea hukohuko.
na hatakuwa wa kwanza kufanya hvyo tanzania na afrika.
Lisu yupo exile na siasa anafanya.namuonea huruma huyu mzee.
Anapitia nyakati ngumu mno pengne kuliko mpinzani yeyote ndani ya nchi hii.
Anakabiliwa na kesi lukuki, uchumi wake binafsi umeporomoka, usalama wake u shakani.nk
Ana miaka 60.
endapo mwelekeo utakuwa ni huu sijui tu.
Kwa kuwa Mapambano ni popote.
ni heri mbowe atafute hifadhi ya ukimbizi wa kisiasa ng'ambo kama lema na lisu walivyofanya.
Ndio, faida ni nyingi kwny hili kuliko changamoto zake.
Usalama wake ni sababu ya kwanza.vilevile anahitaji mapumuziko ya kimwili na mind.
Tatu, kuamua kwenda kuishi ng'ambo kutafikisha message kwa jumuiya kimataifa juu ya changamoto zinazoisibu opposition.
Lisu na lema wote ni political refugees.
kuishi kwao uhamishon hakumaanish kwamba bado tishio dhidi maisha yao linaendelea,
bali ni ku-convey ujumbe kwa jumuiya ya kimataifa iweke jicho lake kwny siasa za ndani
ili pawe na fair political ground.
Siasa ataendeshea hukohuko.
na hatakuwa wa kwanza kufanya hvyo tanzania na afrika.
Lisu yupo exile na siasa anafanya.namuonea huruma huyu mzee.