Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,291
Disclaimers: Haya ni Maoni BINAFSI. All interests declared. All due respect accorded. Emphasis added. Some mistakes MIGHT have been made while referring to the Bill.
AWALI: Pongezi nyingi kwa wahusika kwa kuleta muswada wenye malengo maridhawa ya kuboresha elimu.
USULI: Binafsi, hupenda fumbuzi zinazotegemea soko-huria (market-based solutions), na ambazo huacha wananchi wakiwa huru kutumia hiari yao kufanya maamuzi. Hii hupunguza ukubwa wa vyombo vya umma, na kuongeza ufanisi na kukuza uchumi.
MAONI: Kwa kifupi, maoni yangu yanalenga kuuboresha muswada ili uendane na misingi ya fumbuzi za soko huria. Pili, umma uuachie sekta-binafsi ijiratibu yenyewe. Hivyo sheria hii ibane tu walimu walio kwenye ajira yautumishi wa umma. Na kisha, Bodi ya Kitaalamu ya Walimu Tanzania, iwe na majukumu ya kishauri na kisera. Isifanye kazi za kukimbizana na mwalimu mmojammoja. Ndio maana ya Bodi. Si ndio?
EDIT: Maoni yenyewe yako kwenye kiambatisho, ambacho kimeboreshwa.
EDIT: Further readings: Dunia inaelekea kwenye shule-huria. Msisitizo ukiwa kwenye HURIA.
A Basic Guide to Open Educational Resources - Wikisource, the free online library
A Basic Guide to Open Educational Resources/Appendix 5 - Wikisource, the free online library
https://www.curriki.org/
TESSA | Teacher Education in Sub-Saharan Africa (TESSA)
OER Africa
Home: The National Institute of Open Schooling (NIOS)
List of Registered Open Schools
Note to mods: kindly leave it here; do not merge with anything.
AWALI: Pongezi nyingi kwa wahusika kwa kuleta muswada wenye malengo maridhawa ya kuboresha elimu.
USULI: Binafsi, hupenda fumbuzi zinazotegemea soko-huria (market-based solutions), na ambazo huacha wananchi wakiwa huru kutumia hiari yao kufanya maamuzi. Hii hupunguza ukubwa wa vyombo vya umma, na kuongeza ufanisi na kukuza uchumi.
MAONI: Kwa kifupi, maoni yangu yanalenga kuuboresha muswada ili uendane na misingi ya fumbuzi za soko huria. Pili, umma uuachie sekta-binafsi ijiratibu yenyewe. Hivyo sheria hii ibane tu walimu walio kwenye ajira yautumishi wa umma. Na kisha, Bodi ya Kitaalamu ya Walimu Tanzania, iwe na majukumu ya kishauri na kisera. Isifanye kazi za kukimbizana na mwalimu mmojammoja. Ndio maana ya Bodi. Si ndio?
EDIT: Maoni yenyewe yako kwenye kiambatisho, ambacho kimeboreshwa.
EDIT: Further readings: Dunia inaelekea kwenye shule-huria. Msisitizo ukiwa kwenye HURIA.
A Basic Guide to Open Educational Resources - Wikisource, the free online library
A Basic Guide to Open Educational Resources/Appendix 5 - Wikisource, the free online library
https://www.curriki.org/
TESSA | Teacher Education in Sub-Saharan Africa (TESSA)
OER Africa
Home: The National Institute of Open Schooling (NIOS)
List of Registered Open Schools
Note to mods: kindly leave it here; do not merge with anything.