Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,551
Alicho kifanya nisawa na kuchimba bwawa kuzunguka shamba lako ili kuzuia wahalifu wasiibe mazao, watachonga mtumbwi na utaibiwa sana tu.
Sasa huyu katufungia halafu usikute nayeye ana access kupitia VPN.
Jambo la msingi ilikuwa kuwaondoa watu toka kwenye uraibu wa video za ngono na sio kufungia website za ngono maana watatafuta njia ya kuzifikia.
Nasikia bibi 1 ndiyo alipiga simu kuamuru hilo ili apate thawabu, yaani katutumia sisi kama daraja la kufikia peponi, hii haiku haikubaliki, tufungulieni kisha tufundisheni kutoka kwenye huo uraibu.
Kama mlichofanya kingekuwa kimesaidia watu wasinge haha kutafuta Connection za mirinda maana wangekuwa wamebadilika, kuona watu wakitafuta ni tangazo kuwa mmefanya kazi ya kutwanga maji kwenye kinu.
Nimeumia mpaka sasa sijaona Connection ya mirinda.
Sasa huyu katufungia halafu usikute nayeye ana access kupitia VPN.
Jambo la msingi ilikuwa kuwaondoa watu toka kwenye uraibu wa video za ngono na sio kufungia website za ngono maana watatafuta njia ya kuzifikia.
Nasikia bibi 1 ndiyo alipiga simu kuamuru hilo ili apate thawabu, yaani katutumia sisi kama daraja la kufikia peponi, hii haiku haikubaliki, tufungulieni kisha tufundisheni kutoka kwenye huo uraibu.
Kama mlichofanya kingekuwa kimesaidia watu wasinge haha kutafuta Connection za mirinda maana wangekuwa wamebadilika, kuona watu wakitafuta ni tangazo kuwa mmefanya kazi ya kutwanga maji kwenye kinu.
Nimeumia mpaka sasa sijaona Connection ya mirinda.