Maoni: Baraza la Mawaziri lifanye kazi ya ushauri sawa sawa, Rais hakutakiwa kwenda bandarini

Nimekupa like kwa sababu ya maoni yako katika ujumla wake, ni mazuri lakini bora Rais alikwenda bandarini kwani asingejua kwamba tangu february bado flow meters ni ZERO! Si PM wala Mbarawa hakuna aliyekuwa wanafuatilia ever since, maajabu ya dunia hii! ningefurahi kama "atawatumbua" pia! Wamelala, hawana mwendonkasi kama yeye!

Swali la msingi ni hili:

Atawatumbua wangapi sasa? Ni kwa nini hawaendi na kasi yake?

Na je, inawezekana kasi yake ni ya mithili ya dereva wa bodaboda aliyebwia viroba na kuendesha pikipiki yake kwa kasi ya kilevi kiasi ambacho abiria wanaiogopa kuipanda?

Kiukweli hata mimi ningekuwa abiria, ningesema nenda tu bwana kafe peke yako!!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Alichokifanya Magufuli ni kitu kizuri sana. Pale ujumbe umeenda mpaka katika sekta na idara zingine kua Mzee amedhamiria hataki utani na hamuogopi mtu
 
Mkuu hiyo inaitwa MBWA management by walking around. Sometimes you need to do that to ensure things are in order and thats how their supposed to be. JPM ana speed anatembea nayo inawezekana hao ulio wataja they don't match it.
MBO=MANAGEMENT BY OBJECTIVES
 
JPM is a Leader na sio Manager! Kuna tofauti! A leader anatoa muongozo, managers wanaimplement mipngozo! Sifa ya Leader ni kuwa msikivu na mwenye busara! Ukiangalia kilichotokea Bandarini utaona JPM hakwenda pale kusikiliza bali kufumania na kuscore political points! Kitendo cha yeye kuondoka kwa hasira na kumuacha aliyekuwa anajibu swali akishangaa hakikuwa kitendo cha kiungwana! Picha ya visit yake Bandarini ilijaa vitisho na watendaji waliingiwa na woga na hata kujieleza ilikuwa tabu. Je kuna aliloachieve?? May be Camera show na kuonyesha hasira mbele ya taifa! Is that good thing!? May be, may be not!

Exactly!

And I was so embarrassed with the way he was talking to that man at Bandari.

He was not ready to listen anything which the man was explaining

He went there with his answers in his mind

And also he has assumptions that, all public servants anywhere all the times are thieves and corrupt.....and he's the only one who is clean & perfect!!

These assumptions are going to take him down sooner or later.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna baadhi ya mambo ukiyaona yanatia haya moyoni, kuna baadhi ya mambo Serikali inajiumbua yenyewe na kujiaibisha, mfano mzuri ni pale Bandarini
haya mambo yalitakiwa yamalizikie ofisini.

Rais amwite waziri anayehusika na bandari, amwite Mkuu wa Bandari pamoja na watendaji wote, amwite Mkuu wa Taasisi ya vipimo kuhusu masuala ya mita, awahoji akiwa na kamati yake inayomshauri kuhusu hayo (kamati hiyo iwe well informed na ihusishe watu wa sekta binafsi na umma kila mmoja imshauri kwa wakati tofauti).

Baada ya kuhojiana nao labda angejua kwa nini flow meter za mafuta hazijafungwa na kwa nini mashine za ukaguzi ziko chache, pili rais aweke maeneo nyeti kiuchumi ambayo yatatakiwa kutoa taarifa kwake kila mwezi au wiki mbili. Nne, rais ashauriwe kuhusu baadhi ya sekta ambazo zinaweza kuupeleka uchumi mbele kwa haraka na mgawanyo mkubwa ki nchi hivyo kuupeleka uchumi mbele, mfano utalii, kisiwa cha Rubondo kina uwezo wa kuwavuta watalii Geita na Burigi na hata Bukoba, cha msingi ni uwekezaji tu.

Kile kisiwa ukifanyika uwekezaji, pamoja na visiwa vyote vya ziwa Viktoria, Nyasa, Tanganyika, Bahari ya Hindi tutapata hela nyingi za kigeni, utalii unalipa sana na baraza la mawaziri limwambie rais hivyo.

Tuna haja ya kupanua mawazo kuhusu kusogeza nchi mbele. Sasa tunahangaika na vitambulisho lukuki vya nchi. Makampuni ya simu yamejitahidi kututoa kwenye mabunda ya noti. Tulitaraji vitambulisho vya taifa vituwezeshe kununua bia baa, tiketi ya ndege kwa kuwa na programu maalum ya kielektroniki inayowezesha kuhifadhi taarifa kadha wa kadha ikiwemo TIN number.

UFAHAMU NA AKILI YAKO NDIO UPEO WAKE HUO. ULITAKA AKAE TU IKULU? KWA HIYO HATA ALIPOENDA MUHIMBILI HAKUPASWA? HATA MWALIMU NYERERE ALIKUWA HAKAI TU MLE IKULU. ALIKUWA AKIFANYA KAMA MH. MAGUFULI
 
Swali la msingi ni hili:

Atawatumbua wangapi sasa? Ni kwa nini hawaendi na kasi yake?

Na je, inawezekana kasi yake ni ya mithili ya dereva wa bodaboda aliyebwia viroba na kuendesha pikipiki yake kwa kasi ya kilevi kiasi ambacho abiria wanaiogopa kuipanda?

Kiukweli hata mimi ningekuwa abiria, ningesema nenda tu bwana kafe peke yako!!

Haya bwana! Lakini ni kweli kuna watu wanastahili kutumbuliwa kwa hili la bandari!
 
Exactly!

And I was so embarrassed with the way he was talking to that man at Bandari.

He was not ready to listen anything which the man was explaining

He went there with his answers in his mind

And also he has assumptions that, all public servants anywhere all the times are thieves and corrupt.....and he's the only one who is clean & perfect!!

These assumptions are going to take him down sooner or later.....
kweli,na ninafikiri angekaa nao watu wa bandari hata wiki moja akaongea nao kwa utaratibu angepata mambo meengi saana ambayo hakutarajia,angepata mapendekezo safi kabisa,

ila kwa sasa hakuna mtumishi mahali popote serikalini atakuwa tayari kufanya ubunifu au ununuzi wa kitu cha kisasa.....nahisi kuna haja ya kuongea na watumishi kirafiki at the same time ukiwabana
 
Mkuu unakurupuka pamoja sikubaliana na jpm katika mambo fulani wa kadhaa lakini suala la uzembe wa kingese pale bandarini nathani sio
 
Ahsante sana Mkuu. Huyu jamaa hajui chochote kuhusu kitengo kile cha Bandari kinavyofanya kazi zake. Alitakiwa anyamaze kimya wampe maelezo kuanzia mwanzo hadi mwisho kisha ndiyo angeanza kuuliza maswali, lakini cha kustaajabisha alikuwa akiwakatiza kila mara walipokuwa wanampa maelezo na hatimaye akaamua KUSUSA.

Nikatafakari tu kwamba hali hii ya kujifanya anajua kuliko wale watendaji wa kile kitengo pamoja nakujua kwamba kulikuwa na video camera zilizochukuwa kila kitu. Imagine sasa ndani ya Ikulu na washauri wake (kama anao) au kwenye kikao cha baraza la mawaziri ambako hakuna video camera jinsi anavyotaka kudominate kila kitu kwa kuwa hakuna mjuaji kama yeye!!!! Nilishangaa sana kuiona ile video jana.

Exactly!

And I was so embarrassed with the way he was talking to that man at Bandari.

He was not ready to listen anything which the man was explaining

He went there with his answers in his mind

And also he has assumptions that, all public servants anywhere all the times are thieves and corrupt.....and he's the only one who is clean & perfect!!

These assumptions are going to take him down sooner or later.....
 
Ahsante sana Mkuu. Huyu jamaa hajui chochote kuhusu kitengo kile cha Bandari kinavyofanya kazi zake. alitakiwa anyamaze kimya wampe maelezo kuanzia mwanzo hadi mwisho kisha ndiyo angeanza kuuliza maswali, lakini cha kustaajabisha alikuwa akiwakatiza kila mara walipokuwa wanampa maelezo na hatimaye akaamua KUSUSA.

Nikatafakari tu kwamba hali hii ya kujifanya anajua kuliko wale watendaji wa kile kitengo pamoja nakujua kwamba kulikuwa na video camera zilizochukuwa kila kitu. Imagine sasa ndani ya Ikulu na washauri wake (kama anao) au kwenye kikao cha baraza la mawaziri ambako hakuna video camera jinsi anavyotaka kudominate kila kitu kwa kuwa hakuna mjuaji kama yeye!!!! Nilishangaa sana kuiona ile video jana.
ile video kwa kweli haikuwa na ujumbe mzuri,mimi nashauri aunde technical committee ishughulikie mambo ya bandari idara kwa idara,impe report na mapendekezo ya mabadiliko,abadili mfumo tu.
otherwise tutaendelea kuwakimbiza wafanyabiashara kwenda bandari za nchi jirani
 
Back
Top Bottom