MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,461
- 20,168
Kwanza kabisa KUB ni James Mbatia.
Selasini Wizara ya Mambo ya Ndani
Lwakatare atapewa Wizara Kivuli ya Maji/Umwagiliaji
Mnyika atakuwa TAMISEMI
Lijuakali bado hajatoa maamuzi kama yupo kwenye hii boti lakini akiingia chomboni atakaa kwenye miundombinu. Mwambe atacheza Wizara ya Kilimo na Mifugo.
Silinde atakuwa Wizara ya Michezo na Vijana.
Updates zitakuwa zinakuja kadri Mbatia atakavyokuwa anapokea wageni kutoka upande mwingine
Selasini Wizara ya Mambo ya Ndani
Lwakatare atapewa Wizara Kivuli ya Maji/Umwagiliaji
Mnyika atakuwa TAMISEMI
Lijuakali bado hajatoa maamuzi kama yupo kwenye hii boti lakini akiingia chomboni atakaa kwenye miundombinu. Mwambe atacheza Wizara ya Kilimo na Mifugo.
Silinde atakuwa Wizara ya Michezo na Vijana.
Updates zitakuwa zinakuja kadri Mbatia atakavyokuwa anapokea wageni kutoka upande mwingine