Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 2,471
- 3,099
hivi ndo vitu nakataa mimi....mwanamke mwenye akili hawezi kumwachia majukumu mwanaume pekee...eti unafanya kazi kila kitu mimi...tunagawana miezi hii unalipa kodi, miezi ijayi ni mimi,, na vitu kama hivo...Sio kuzaa tu, ana wajibu wake lakini siyo kukulipia kodi ya nyumba na kukusomeshea wanao.
Hakuna kitu napenda kama wote tukiwajibika.