Maonesho fursa za ajira UDSM, njoo na vyeti vyako upate ajira

Kijana acha uongo....mwaka jana nlikuwepo hapo hao mabwana hawakuajiri hata raia mmoja
Nafahamu Vijana kumi walioajiriwa kupitia Maonesho ya noble Victoria.
Civil engineers 2
Quantity surveyor 2
Land surveyor 3
Architects 2
Mechanical engineers 1

Una ujuzi gani maana nina nafasi 3 hapa za Land surveyors......

Msiwe na haraka ya kuandika chochote tu.
 
Kijana acha uongo....mwaka jana nlikuwepo hapo hao mabwana hawakuajiri hata raia mmoja
Huu ushujaa wa nyuma ya keyboard huwa mnaupata wapi?!

June mwaka jana watu waliajiriwa kwenye job fair.

Kaa hivyo hivyo kuwa hawaajiri.

Mama samia amefika kufungua na ninamuona Makonda na Mukandara kwa mbali
 
Kijana acha uongo....mwaka jana nlikuwepo hapo hao mabwana hawakuajiri hata raia mmoja
Huu ushujaa wa kuandika chochote nyuma ya keyboard huwa mnaupata wapi?
Mwaka jana June Vijana wengi walipata ajira. Nina mashaka hata kama ulifika kwenye hiyo job fair.
 
JerryTz.
Unazungumzia ajira zile za muda mfupi za wachina pale TPA? au ajiza zipi unazosema kua waliajiriwa? haya maonesho wanatesa tu watu amna ajira zozote wanazotoa.
 
Ubabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel

Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu

Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni
 
Ubabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel

Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu

Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni
Nahisi tunazungumzia vitu viwili tofauti hapa. Hakuna maonesha ya Biashara wala hakuna kampuni za simu ukizotaja na hakuna mauzo Ya Biashara
Naona
1. Group six
2.CRJE
3.Avic
4. CCECC
5.Global leadership enterprise
6.BCEG
7.chinese chamber of commerce
 
Ubabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel

Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu

Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni
.
 
Nakuja mkuu...ngoja nitoe copy cv yangu..ila vyeti vyangu anatumia Bashite..ngoja nikamnyang'anye maana yy ndo anasababisha mm nile ugali kwa chumvi
 
Dadeki.

Hapo ndio watoto wa mjini wanakwambia

"ndio utajua kwanini Dunia na Gunia vinatofautiana herufi moja"

Huu msiba wa kukosa ajira usikie kwa mwenzako tu.

Wengine wazee waliuza hadi Mashamba ili wamalizie ada lakini kijana mwaka wa nne yupo tu home.

Ubabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel

Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu

Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni
 
Ubabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel

Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu

Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni
Mbona Unanisema Mkuu kwani Kukutana na wewe Nikiwa nimevaa kile kishati changu cha mistari ni dhambi?
 
Huu ushujaa wa kuandika chochote nyuma ya keyboard huwa mnaupata wapi?
Mwaka jana June Vijana wengi walipata ajira. Nina mashaka hata kama ulifika kwenye hiyo job fair.
Kijana siongei tuu..mwaka jana nmefika hapo na hao wachina wasiojua lugha walikuwepo
 
Back
Top Bottom