Sawa hawakutoa kazi hata moja.Kijana siongei tuu..mwaka jana nmefika hapo na hao wachina wasiojua lugha walikuwepo
Cjuh kwann watu wanakubshia kuhusu hzo ajra mi nakubaliana na wewe kabsa wale wachna wanatoa kazNahisi tunazungumzia vitu viwili tofauti hapa. Hakuna maonesha ya Biashara wala hakuna kampuni za simu ukizotaja na hakuna mauzo Ya Biashara
Naona
1. Group six
2.CRJE
3.Avic
4. CCECC
5.Global leadership enterprise
6.BCEG
7.chinese chamber of commerce
Psychology inasema watu km ww Mara nyingi ndio wanakuaga mstari wa mbele kuhudhulia wakat mmeshawakatisha tamaa wengineUbabaishaji tuu, wanaenda kuonyesha biashara zao za simu wachina. Wee angalia makampuni yatakayokuwepo kama si Huawei, tecno, itel, tigo, vodacom, Airtel
Nikikumbuka ile ilikuwaga mwaka juzi sijui yale Maonyesho hakuna kampuni za maana zaidi ya makampuni ya simu
Walikuja washkaji waliomaliza chuo kama miaka 3 iliyopita. Watu wamechoka, chakaa, pauka, wamekonda
Mwingine tokea unamaliza chuo, imekatika kama miaka 2 bado yupo na simu ile ile aliyomaliza nayo chuo na nguo zile zile alizokuwa anaonekana nazo vyuoni