Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,443
- 4,384
Miaka miwili sasa ya Uongozi nafikiri hofu ya kukaa magogoni haiko tena kwa Rais Magufuli, bila shaka keshapazoea pale na mauza uza yake... Na sijamwona kanisani afike kutoa shukrani ya pekee kama ilivyo kawaida yetu Wakristo Mungu anapokuvusha hatua kubwa.
Lakini kwa hakika niseme, tangu tarh ile ya Giza kwa Taifa, tarehe 7/9/2017, miezi miwili sasa, mimi binafsi SIJAMSIKIA wala KUMWONA Mh.Rais akifika kanisani kufanya Ibada, na kama ilivyo desturi yake, kusalimia, kutoa maagizo na kutoa tamko akihitaji maombi...hajafika St.Peters wala kwa Mzee wa Upako...what happened? Kusutwa roho ama?
Lakini kwa hakika niseme, tangu tarh ile ya Giza kwa Taifa, tarehe 7/9/2017, miezi miwili sasa, mimi binafsi SIJAMSIKIA wala KUMWONA Mh.Rais akifika kanisani kufanya Ibada, na kama ilivyo desturi yake, kusalimia, kutoa maagizo na kutoa tamko akihitaji maombi...hajafika St.Peters wala kwa Mzee wa Upako...what happened? Kusutwa roho ama?