Namuonea uruma sudy tutamis shilawaduuKesi hiyo namba 13 ya mwaka 2018 itasikilizwa Jumatatu Septemba 24, 2018 katika Mahakama ya Hakimu Mkaizi Kisutu mbele ya Hakimu Huruma Shaidi
Mbali na Msanii Maua Sama, Watangazaji Sudi Kadio(Soudy Brown) na Shaffih Dauda wengine ni Mshehereshaji Anthony Luvanda, Mpiga picha Michael Mlingwa(MxCarter), Fadhili Kondo na Benedict Kadege
Maua Sama na Sudi Kadio wanadaiwa kushikiliwa kwa kosa la kudhalilisha fedha ya Tanzania kwa kuirusha juu na kuikanyaga
Wengine wanashikiliwa wakidaiwa kumiliki na kuendesha chaneli za YouTube ambazo hazijasajiliwa na TCRA
View attachment 874146
Awa wanaangalia mtu na sifa zakeKuna yule huwa anagawa pesa hovyo huko kwenye ziara zake nae ashtakiwe kuchezea pesa za walipa kodi
Mkuu wanachoangalia pale ni maudhui pekee.Mbona kwenye matamasha naonaga hata viongozi wakirusha hela jukwaani(kutunza) na zinakanyagwa, lakini sijawahi sikia wakikamatwa. Hizi ndio tunaita double standards. Akifanya huyu ni kosa, lakini akifanya yule sio kosa. Sheria za Tanzania zinabagua.
Kimsingi kwa utaratibu wa kisheria ukikamatwa wewe basi ndio unatakiwa kujibu mashitaka hivyo utetezi wa mbona flani alifanya hauna mashikoWasifanye double standard wapitie mitandao wasanii wote na wote waliowahi sigina hela kama wao wawachukulie hatua ili kuwaprove wrong kuwa ni bifu kati yao na wakuu wa visasi