Maombi ya kazi, nina cheti cha Tehama

ommykiss

Member
Feb 8, 2019
6
0
Habari za muda huu,

Kwa majina naitwa Omary Maulidi nina umri wa miaka 22, ni muhitimu wa ngazi ya cheti fani ya
CCTV Camera, Electric fence, Automatic gate. Utengenezaji na ufungaji wa security camera kuzi control napia nina uwezo wa kuyafundisha vya ziada nina cheti cha Tehama yaani (IT na Computer Application)

Kwa mawasiliano
0652332996
0743122848 Asanteni
 
Habari za muda huu,

Kwa majina naitwa Omary Maulidi nina umri wa miaka 22, ni muhitimu wa ngazi ya cheti fani ya
CCTV Camera, Electric fence, Automatic gate. Utengenezaji na ufungaji wa security camera kuzi control napia nina uwezo wa kuyafundisha vya ziada nina cheti cha Tehama yaani (IT and Computer Application)

Kwa mawasiliano
0652332996
0743122848 Asanteni
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom