Maombi ya kaz iya udereva

mukama talemwa

Senior Member
Jun 14, 2011
160
28
Ninanaomba wana jf yeyote ayejua au anaye hitaji driver niko tayari,nina leseni class A,B, c1, c2, c3,na D na E,nimeendesha magari tofauti tofauti kwa zaidi ya miaka kumi.Muda mrefu nimefanya kazi za mauzo kama salesman,kazi hii nina uzoefu nayo sana, tatizo sina cheti cha kuisomea zaidi ya semina mbalimbali kuhusu mauzo na merchanding, customer service,sefety at work pamoja na course fupi NIT kuhusu defensive driving.Nina record nzuri ya uaminifu na sijawahi kupata ajali tangia nimeanza kendesha magari.
Ninasubiria kutoka kenu wana jf
 
Hebu cheki hii halafu jaribu bahati yako ndugu:

------------------
3. DRIVER MECHANIC
MAIN TASKS:
• Maintaining vehicle movements and fuel records in log books
• Keeping records of vehicle maintenance schedule and ensure the vehicles are regularly serviced
• Skillfully and carefully drives vehicles to ensure safety of the vehicle, people and material
• Checks and maintains vehicles and accessories in good working conditions
• Errands and duties as needed by supervisors.
QUALIFICATIONS:
• Holder of at least a form 4 certificate
• Holder of class C driving license and certificate
• Has at least 5 years working experience in related field
• Trade Test Grade 1 or CBET level 3 will be an added advantage
• Able to speak and write English and Kiswahil


Please email applications and detailed CV to tanzania@farmradio.org
Note: Put the position you are applying for in the subject line of the email
Closing date for applications is the 24th January 2012
Only shortlisted applicants will be contacted

Good luck......
 
Back
Top Bottom