Super women 2
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 5,165
- 6,531
Habari zenu.
Kama ulipitia Kipindi cha ujauzito 0-9 miezi.
Unaweza kutusaidia tunaotaka kupata watoto,
Changamoto za mimba, ulaji, vitu muhimu vya kufanya Kipindi cha ujauzito,
Unatakiwa Ule Nini ambacho ni Kizuri kwa afya Kipindi cha mimba,.
Unatakiwa utayarishe vitu vya kujifungulia ,muda gani ni sahihi wa kutayarisha.
Yaani tunaomba tu tusheee yoteeeeeeee Kuhusu MIMBA .asanteni.
Na labda Kama Kuna Mada ya hivi ilishakuja hapa. Naomba nitagiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulipitia Kipindi cha ujauzito 0-9 miezi.
Unaweza kutusaidia tunaotaka kupata watoto,
Changamoto za mimba, ulaji, vitu muhimu vya kufanya Kipindi cha ujauzito,
Unatakiwa Ule Nini ambacho ni Kizuri kwa afya Kipindi cha mimba,.
Unatakiwa utayarishe vitu vya kujifungulia ,muda gani ni sahihi wa kutayarisha.
Yaani tunaomba tu tusheee yoteeeeeeee Kuhusu MIMBA .asanteni.
Na labda Kama Kuna Mada ya hivi ilishakuja hapa. Naomba nitagiwe
Sent using Jamii Forums mobile app