Mungu tunajuwa Wewe ni Mungu mwaminifu sana. Naniukweli usio pingika ktk malango yako ya siri haikuwa Rahisi kwa Dr Tulia kupita nakuwa. Spika wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tz.
Mlinde na ufunike ktk kipindi hiki waovu wameongezeka ktk uso wa dunia. Unajuwa yakuwa anamitego na majukumu mazito ktk meza yake. Furaha yakuwa Spika ni ndogo kuliko kazi ngumu iliombele yake. Wewe unajuwa kazi yake ni kuchaguwa uzima au kifo.
Nakuomba muonyeshe njia yaku ya hepa mambo yanaweza kuwa hatari kwa maisha yake.
Mungu wangu na Baba yangu najuwa una mpango mzito kuliponya taifa mpango ambao watawala hawaujuwi na wala hawautegemei. Ila Wewe ndie uweka serikali nakuziondoa haki na sheria za watanzania zinatungwa ktk bunge letu. Basi tunakuomba utukumbuke wa Tz ktk kipindi chake bunge litunge sheria nzuri na kuishauri serikali na serikali ikubali kushauriwa.
Mungu najuwa hata ningekuomba kwa kiasi gani ila msaidizi wake wajuwa vile atakuwa msumari wa moto kama ulivyokuwa kwa alie ondoka ila Mungu akulinde ndio maisha na yote mshukuru Mungu.
Najuwa utakuwa ukipata taarifa za siri na uwenda nyingine zitakushituwa sana ila Mungu wangu akakutie nguvu nakukupa hekima kubeba yote pasipo kukosa uvumilivu.
Amen
Mlinde na ufunike ktk kipindi hiki waovu wameongezeka ktk uso wa dunia. Unajuwa yakuwa anamitego na majukumu mazito ktk meza yake. Furaha yakuwa Spika ni ndogo kuliko kazi ngumu iliombele yake. Wewe unajuwa kazi yake ni kuchaguwa uzima au kifo.
Nakuomba muonyeshe njia yaku ya hepa mambo yanaweza kuwa hatari kwa maisha yake.
Mungu wangu na Baba yangu najuwa una mpango mzito kuliponya taifa mpango ambao watawala hawaujuwi na wala hawautegemei. Ila Wewe ndie uweka serikali nakuziondoa haki na sheria za watanzania zinatungwa ktk bunge letu. Basi tunakuomba utukumbuke wa Tz ktk kipindi chake bunge litunge sheria nzuri na kuishauri serikali na serikali ikubali kushauriwa.
Mungu najuwa hata ningekuomba kwa kiasi gani ila msaidizi wake wajuwa vile atakuwa msumari wa moto kama ulivyokuwa kwa alie ondoka ila Mungu akulinde ndio maisha na yote mshukuru Mungu.
Najuwa utakuwa ukipata taarifa za siri na uwenda nyingine zitakushituwa sana ila Mungu wangu akakutie nguvu nakukupa hekima kubeba yote pasipo kukosa uvumilivu.
Amen