Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
hao maofisa watatu ni chief of staff aliyestaafu karibuni, pia chief of staff kipindi cha waitara, na cdf kabla ya waitara
moshe dayan
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi;
Chief of Staff aliyestaafu hivi karibuni ni Lt.Gen. Shimbo
Chief of Staff kipindi cha Gen. Waitara alikuwa Lt. Gen. Iddi Gahu, na
CDF kabla ya Gen. Waitara alikuwa ni Gen. Mboma